< Zaburi 20 >

1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
Gospod te sliši na dan stiske, ime Jakobovega Boga te brani,
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
pošlje ti pomoč iz svetišča in te okrepi s Siona,
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
spominja se vseh tvojih daritev in sprejema tvojo žgalno daritev. (Sela)
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
Usliši te glede na tvoje lastno srce in izpolni vso tvojo namero.
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
Veselili se bomo v tvoji rešitvi duše in svoje prapore bomo postavili v imenu svojega Boga. Gospod izpolnjuje vse tvoje prošnje.
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
Sedaj vem, da Gospod rešuje svojega maziljenca; iz svojih svetih nebes ga bo uslišal z rešujočo močjo svoje desnice.
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
Nekateri zaupajo v bojne vozove, nekateri pa v konje, toda mi se bomo spominjali imena Gospoda, svojega Boga.
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
Oni so ponižani in padli, toda mi vstanemo in stojimo pokončno.
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
Reši, Gospod. Naj nas sliši kralj, ko kličemo.

< Zaburi 20 >