< Zaburi 20 >

1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
Przewodnikowi chóru. Psalm Dawida. Niech cię wysłucha PAN w dniu utrapienia, niech cię chroni imię Boga Jakuba.
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
Niech ci ześle pomoc ze świątyni i niech cię wesprze z Syjonu.
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
Niech pamięta wszystkie twoje ofiary i niech przyjmie twoje całopalenia. (Sela)
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
Niech da ci [wszystko], czego pragnie twoje serce, i każdy twój zamysł niech wypełni.
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
Będziemy się radować z twojego zbawienia i w imię naszego Boga sztandary podniesiemy. Niech PAN spełni wszystkie twoje prośby.
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
Teraz wiem, że PAN wybawia swego pomazańca, wysłucha go ze swego świętego nieba zbawczą mocą swojej prawicy.
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
Jedni [pokładają ufność] w rydwanach, inni w koniach, lecz my będziemy wspominać imię PANA, naszego Boga.
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
Tamci zachwiali się i upadli, a my powstaliśmy i ostoimy się.
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
PANIE, wybaw [nas], a król niech nas wysłucha w dniu naszego wołania.

< Zaburi 20 >