< Zaburi 20 >
1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
Al maestro del coro. Salmo. Di Davide. Ti ascolti il Signore nel giorno della prova, ti protegga il nome del Dio di Giacobbe.
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
Ti mandi l'aiuto dal suo santuario e dall'alto di Sion ti sostenga.
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
Ricordi tutti i tuoi sacrifici e gradisca i tuoi olocausti.
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
Ti conceda secondo il tuo cuore, faccia riuscire ogni tuo progetto.
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
Esulteremo per la tua vittoria, spiegheremo i vessilli in nome del nostro Dio; adempia il Signore tutte le tue domande.
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
Ora so che il Signore salva il suo consacrato; gli ha risposto dal suo cielo santo con la forza vittoriosa della sua destra.
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
Chi si vanta dei carri e chi dei cavalli, noi siamo forti nel nome del Signore nostro Dio.
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
Quelli si piegano e cadono, ma noi restiamo in piedi e siamo saldi.
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
Salva il re, o Signore, rispondici, quando ti invochiamo.