< Zaburi 20 >

1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
Dem Sangmeister. Ein Psalm Davids.
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
(Der levitische Sängerchor: ) / Es erhöre dich Jahwe am Tage der Not, / Der Name des Gottes Jakobs schütze dich!
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
Er sende dir Hilfe vom Heiligtum / Und stütze dich von Zion her!
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
Er gedenke all deiner Speisopfer, / Und dein Brandopfer sei ihm wert! (Sela)
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
Er gebe dir, was dein Herz begehrt, / Und all deine Wünsche erfülle er!
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
Dann wollen wir jauchzen ob deiner Hilfe / Und im Namen unsers Gottes das Banner schwingen. / Jahwe gewähre dir all dein Bitten!
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
(Eine Einzelstimme: ) / Nun weiß ich, daß Jahwe seinem Gesalbten hilft, / Aus seinem heiligen Himmel erhört er ihn / Durch gewaltige Taten seiner Rechten.
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
Diese vertrauen auf Wagen und jene auf Rosse, / Wir aber rufen an den Namen Jahwes, unsers Gottes.
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
Sie sinken nieder und fallen, / Wir aber stehen und halten uns aufrecht. (Schlußruf des ganzen Sängerchors: ) / Jahwe, rette den König! / Erhör uns heut, da wir zu dir flehn!

< Zaburi 20 >