< Zaburi 20 >
1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
I desire that Yahweh will answer you [when you call out to him] when you have troubles! God is the one whom ([our ancestor] Jacob/the Israeli people) [worshiped]; I desire that he will protect you [MTY] [from being harmed by your enemies].
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
I desire/hope that he will reach out from his sacred temple and help you, and aid you from [where he lives] on Zion [Hill].
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
I desire/hope that he will accept all the offerings that you give him to be burned [on the altar], and all your [other] offerings.
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
I want him to give to you what you desire, and that you will be able to accomplish all that you desire to do.
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
When [we hear that] you have defeated [your enemies], we will shout joyfully. We will lift up a banner proclaiming that it is God [MTY] [who helps us](inc). I want Yahweh to [do for you] all that you request him to do.
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
I know now that Yahweh rescues [me], the one whom he has chosen [to be king]. From his holy place in heaven he will answer me, and he will save me by his great power [MTY].
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
Some [kings] trust that because they have chariots [they will be able to defeat their enemies], and some trust that their horses [will enable them to defeat their enemies], but we will trust in the power [MTY] of Yahweh our God.
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
Some kings will stumble and fall down, but we will be strong and (not be moved/continue standing firm).
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
Yahweh, enable [me], your king, to defeat our enemies! Answer us when we call out to you [to help us.]