< Zaburi 20 >
1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
Til Sangmesteren; en Psalme af David.
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
Herren bønhøre dig paa Nødens Dag! Jakobs Guds Navn ophøje dig!
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
Han sende dig Hjælp fra Helligdommen og understøtte dig fra Zion!
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
Han ihukomme alle dine Madofre, og dit Brændoffer finde han fedt! (Sela)
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
Han give dig efter dit Hjerte og opfylde alle dine Anslag!
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
Saa ville vi synge om din Frelse og i vor Guds Navn oprejse Banner; Herren opfylde alle dine Begæringer!
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
Nu ved jeg, at Herren frelser sin Salvede, han vil bønhøre ham fra sin hellige Himmel; ved hans frelsende højre Haands vældige Gerninger.
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
Disse forlade sig paa Vogne og disse paa Heste; men vi ville prise Herren vor Guds Navn.
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
De have maattet bøje sig og ere faldne; men vi staa og holde os oprejste. Frels, Herre! Kongen bønhøre os den Dag, vi raabe!