< Zaburi 20 >
1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
Zborovođi. Psalam. Davidov. Uslišio te Jahve u dan nevolje, štitilo te ime Boga Jakovljeva!
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
Poslao ti pomoć iz Svetišta, branio te sa Siona!
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
Spomenuo se svih ti prinosnica, bila mu mila paljenica tvoja!
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
Udijelio ti što ti srce želi, ispunio sve namisli tvoje!
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
Radovali se tvojoj pobjedi, u ime Boga svoga dizali stjegove! Ispunio Jahve svaku molbu tvoju!
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
Znam evo: Jahve će pobjedu dati svom pomazaniku, uslišit ga iz svetih nebesa snagom pobjedne desnice svoje.
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
Jedni se hvale kolima bojnim, drugi konjima, mi imenom Jahve, Boga našega!
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
Oni posrću i padaju, mi se držimo i stojimo.
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
Jahve, daruj pobjedu kralju, usliši nas u dan kad te zazovemo!