< Zaburi 20 >
1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
За първия певец. Давидов псалом. Господ да те послуша в скръбен ден; Името на Бога Яковов да те постави на високо!
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
Да ти прати помощ от светилището, И да те подкрепи от Сион!
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
Да си спомни всичките твои приноси, И да приеме всеизгарянето ти! (Села)
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
Да ти даде според желанието на сърцето ти, И да изпълни всяко твое намерение!
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
В спасението Ти ще се зарадваме, И в името на нашия Бог ще издигнем знамена. Господ да изпълни всичките твои прошения!
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
Сега зная, че Господ избави помазаника Си; Що го слуша от своето Си небе Със спасителна сила на десницата Си.
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
Едни споменават колесници, а други коне; Но ние ще споменем името на Господа нашия Бог.
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
Те се спънаха и паднаха; А ние станахме и се изправихме.
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
Господи пази! Нека ни послуша Царят, когато Го призовем.