< Zaburi 2 >

1 Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
Varför larma hedningarna och tänka folken fåfänglighet?
2 Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
Jordens konungar resa sig upp, och furstarna rådslå med varandra, mot HERREN och hans smorde:
3 “Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
"Låt oss slita sönder deras bojor och kasta deras band ifrån oss."
4 Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
Han som bor i himmelen ler, HERREN bespottar dem.
5 Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
Då talar han till dem i sin vrede, och i sin förgrymmelse förskräcker han dem:
6 “Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
"Jag själv har insatt min konung på Sion, mitt heliga berg."
7 Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
Jag vill förtälja om vad beslutet är; HERREN sade till mig: "Du är min son, jag har i dag fött dig.
8 Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
Begär av mig, så skall jag giva dig hedningarna till arvedel och jordens ändar till egendom.
9 Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
Du skall sönderslå dem med järnspira, såsom lerkärl skall du krossa dem."
10 Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
Så kommen nu till förstånd, I konungar; låten varna eder, I domare på jorden.
11 Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
Tjänen HERREN med fruktan, och fröjden eder med bävan.
12 Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.
Hyllen sonen, så att han icke vredgas och I förgåns på eder väg; ty snart kunde hans vrede upptändas. Saliga äro alla de som taga sin tillflykt till honom.

< Zaburi 2 >