< Zaburi 2 >

1 Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
¿Por qué traman rebelión las naciones? Los pueblos conspiran, pero sin ningún sentido.
2 Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
Los reyes del mundo se preparan para el ataque, y los gobernantes se reúnen para conspirar contra el Señor y su ungido, diciendo:
3 “Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
“Rompamos las cadenas y desechemos las cuerdas que nos atan”
4 Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
Pero el que se sienta en el trono hasta se ríe. El Señor se ríe de ellos.
5 Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
Con un trueno los espantará en medio de su furia, diciendo:
6 “Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
“Yo soy quien puso a mi rey en Sión, mi monte sagrado”.
7 Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
“Yo proclamaré el decreto del Señor”, dice el rey. “Él me dijo: ‘Tú eres mi hijo. Hoy me he convertido en tu padre.
8 Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
Si me lo pides, te daré las naciones como posesión. Toda la tierra será tuya.
9 Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
Los quebrantarás con vara de hierro, y como vasija de barro los desmenuzarás’”.
10 Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
Entonces, ustedes los reyes, ¡Actúen con sabiduría! ¡Estén advertidos, gobernantes de la tierra!
11 Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
¡Sirvan al Señor con reverencia, y alégrense con temblor!
12 Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.
Sométanse a su hijo para que no se enoje y mueran repentinamente. Su ira se inflama de repente, pero felices son los que acuden a él buscando protección.

< Zaburi 2 >