< Zaburi 2 >

1 Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
Zakaj besnijo pogani in ljudstvo domišlja prazno stvar?
2 Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
Kralji zemlje so se usmerili in vladarji se skupaj posvetujejo zoper Gospoda in zoper njegovega maziljenca, rekoč:
3 “Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
»Pretrgajmo njihove vezi in odvrzimo njihove vrvi od sebe.«
4 Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
Tisti, ki sedi v nebesih, se bo smejal. Gospod jih bo imel v posmeh.
5 Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
Potem jim bo govoril v svojem besu in jih nadlegoval v svojem bridkem nezadovoljstvu.
6 “Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
»Vendarle sem jaz postavil svojega kralja na svoji sveti gori Sion.«
7 Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
Oznanil bom odlok. Gospod mi je rekel: »Ti si moj Sin. Ta dan sem te rodil.
8 Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
Zahtevaj od mene in dal ti bom pogane za tvojo dediščino in najbolj oddaljene kraje zemlje za tvojo posest.
9 Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
Zdrobil jih boš z železno palico, raztreščil jih boš na koščke kakor lončarjevo posodo.«
10 Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
Zatorej bodite sedaj modri, oh vi kralji. Dajte se poučiti, vi sodniki zemlje.
11 Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
Gospodu služite s strahom in veselite se s trepetanjem.
12 Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.
Poljubite Sina, da ne bi bil jezen in ne izginete iz poti, ko je njegov bes le malo razvnet. Blagoslovljeni so vsi, ki svoje upanje položijo vanj.

< Zaburi 2 >