< Zaburi 2 >
1 Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
Ba ham lae namtom rhoek khopo uh tih a poeyoek la namtu te a taeng uh?
2 Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
Diklai manghai rhoek boeica rhoek loh thikat la tingtun uh, BOEIPA nehBOEIPAamah kah Messiah te a pai thil uh tih,
3 “Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
“Amih kah kuelrhui te bawt uh sih lamtah, mamih pum kah rhuivaeh voeih pa sih,” a ti uh.
4 Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
Vaan ah aka ngol Boeipa loh amih te a nueih thil tih, a tamdaeng,
5 Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
Te vaengah A thintoek neh amih te a voek tih a thinsa neh amih te a let sak.
6 “Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
Te dongah kai loh kamah kah manghai te kamah kah Zion tlang cim ah ka hol coeng,” a ti.
7 Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
BOEIPA loh kai taengah, “Nang tah kamah ca ni, Tihnin ah kai loh nang kan sak,” a ti oltlueh te ka doek ni.
8 Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
Kai taengah ham bih lamtah namtom boeih te na rho la kam paek vetih na khohut loh kho bawt kho le a pha ni.
9 Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
Amih te thi caitueng neh na talh vetih, amsai kah hnopai bangla amih te na phop ni.
10 Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
Te dongah manghai rhoek lungming la om uh saeh. Diklai laitloek rhoek toel uh laeh.
11 Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
BOEIPA te hinyahnah neh, omngaih neh, thuennah neh thothueng uh.
12 Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.
A capa te mok pah, a thintoek ve, Mikpalap kah a thintoek loh n'dom vetih longpueng ah na milh ve. Anih dongah aka kuep boeih tah a yoethen.