< Zaburi 2 >

1 Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
Защо се разоряват народите, И племената намислюват суета?
2 Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
Опълчват се земните царе, И управниците се наговарят заедно, Против Господа и против Неговия помазаник, като казват:
3 “Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
Нека разкъсаме връзките им, И нека отхвърлим от себе си въжетата им.
4 Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
Тоя, Който седи на небесата, ще се смее; Господ ще им се поругае.
5 Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
Това ще им продума в гнева Си, И в тежкото Си негодувание ще ги смути, казвайки:
6 “Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
Но Аз поставих Царя Си На Сион, светия Мой хълм.
7 Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
Аз ще изявя постановлението; Господ ми каза: Ти си Мой Син; Аз днес те родих.
8 Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
Поискай от Мене и Аз ще ти дам народите за твое наследство, И земните краища за твое притежание.
9 Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
Ще ги съкрушиш с желязна тояга, Ще ги строшиш като грънчарски съд.
10 Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
Сега, прочее, вразумете се, о царе; Научете се земни съдии.
11 Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
Слугувайте на Господа със страх, И радвайте се с трепет.
12 Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.
Целувайте Избраника, за да се не разгневи, Та погинете в пътя; Защото скоро ще пламне Неговият гняв. Блажени са всички, които се надяват на Него.

< Zaburi 2 >