< Zaburi 17 >
1 Maombi ya Daudi. Sikia ombi langu kwa ajili ya haki, Yawhe; uusikilize mwito wangu wa msaada. Uyasikilize maombi yangu yatokayo katika midomo isiyo na udanganyifu.
Accogli, Signore, la causa del giusto, sii attento al mio grido. Porgi l'orecchio alla mia preghiera: sulle mie labbra non c'è inganno. Preghiera. Di Davide.
2 Uthibitisho wangu na uje kutoka uweponi mwako; macho yako na yaone kile kilicho sahihi!
Venga da te la mia sentenza, i tuoi occhi vedano la giustizia.
3 Kama utaujaribu moyo wangu, kama utakuja kwangu wakati wa usiku, wewe utanitakasa na hautapata mipango yeyote ya uovu; mdomo wangu hautavunja sheria.
Saggia il mio cuore, scrutalo di notte, provami al fuoco, non troverai malizia. La mia bocca non si è resa colpevole,
4 Kama kwa matendo ya binadamu, ni katika neno la midomo yako ya kuwa nimejiepusha na njia za wahalifu.
secondo l'agire degli uomini; seguendo la parola delle tue labbra, ho evitato i sentieri del violento.
5 Mwenendo wangu umeshikila kwa umakini mwenendo wako; miguu yangu haija teleza.
Sulle tue vie tieni saldi i miei passi e i miei piedi non vacilleranno.
6 Nakuita wewe, kwa kuwa unanijibu, Mungu; geizia sikio lako kwangu na usikilize ninapo ongea.
Io t'invoco, mio Dio: dammi risposta; porgi l'orecchio, ascolta la mia voce,
7 Onyesha uaminifu wa agano lako katika namna ya ajabu, wewe uokoaye kwa mkono wa haki yako wale wanao kukimbilia wewe kutoka kwa adui zao.
mostrami i prodigi del tuo amore: tu che salvi dai nemici chi si affida alla tua destra.
8 Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche katika kivuli cha mbawa zako
Custodiscimi come pupilla degli occhi, proteggimi all'ombra delle tue ali,
9 kutoka katika uwepo wa waovu ambao wananitusi, adui zangu wanizungukao.
di fronte agli empi che mi opprimono, ai nemici che mi accerchiano.
10 Wao hawana huruma kwa yeyote; midomo yao huongea kwa majivuno.
Essi hanno chiuso il loro cuore, le loro bocche parlano con arroganza.
11 Wao wame zizunguka hatua zangu. Wamekaza macho yao wanishambulie mpaka ardhini.
Eccoli, avanzano, mi circondano, puntano gli occhi per abbattermi;
12 Wao ni kama mfano wa hasira ya simba mawindoni. Ni kama simba kijana anapotokea mafichoni.
simili a un leone che brama la preda, a un leoncello che si apposta in agguato.
13 Inuka, Yahwe! Uwashambulie! Uwaangushe chini kwenye nyuso zao! Uyaokoe maisha yangu kutokana na waovu kwa upanga wako!
Sorgi, Signore, affrontalo, abbattilo; con la tua spada scampami dagli empi,
14 Uniokoe kutoka kwa watu hawa kwa mkono wako, Yahwe, kutoka kwa watu wa dunia hii ambao utajiri wao ni maisha haya pekee! Wewe utayajaza matumbo ya wale uwathaminio na utajiri; watakuwa na watoto wengi na wataacha utajiri wao kwa watoto wao.
con la tua mano, Signore, dal regno dei morti che non hanno più parte in questa vita. Sazia pure dei tuoi beni il loro ventre se ne sazino anche i figli e ne avanzi per i loro bambini.
15 Bali mimi, nitauona uso wako katika haki; Nitashuhudiwa, pale nitakapo amka, na macho yako.
Ma io per la giustizia contemplerò il tuo volto, al risveglio mi sazierò della tua presenza.