< Zaburi 17 >
1 Maombi ya Daudi. Sikia ombi langu kwa ajili ya haki, Yawhe; uusikilize mwito wangu wa msaada. Uyasikilize maombi yangu yatokayo katika midomo isiyo na udanganyifu.
Molitva. Davidova. Počuj, Jahve pravedni, i vapaj mi poslušaj, usliši molitvu iz usta iskrenih!
2 Uthibitisho wangu na uje kutoka uweponi mwako; macho yako na yaone kile kilicho sahihi!
Od tebe nek' mi dođe presuda, tvoje oči vide što je pravo.
3 Kama utaujaribu moyo wangu, kama utakuja kwangu wakati wa usiku, wewe utanitakasa na hautapata mipango yeyote ya uovu; mdomo wangu hautavunja sheria.
Istraži mi srce, pohodi noću, ognjem me iskušaj, al' u meni nećeš nać' bezakonja. Ne zgriješiše usta moja
4 Kama kwa matendo ya binadamu, ni katika neno la midomo yako ya kuwa nimejiepusha na njia za wahalifu.
kao što griješe ljudi: po riječima usta tvojih čuvah putove Zakona.
5 Mwenendo wangu umeshikila kwa umakini mwenendo wako; miguu yangu haija teleza.
Korak mi čvrsto prionu za tvoje staze, ne zasta mi noga na putima tvojim.
6 Nakuita wewe, kwa kuwa unanijibu, Mungu; geizia sikio lako kwangu na usikilize ninapo ongea.
Zazivam te, Bože, ti ćeš me uslišit': prikloni mi uho i čuj riječi moje.
7 Onyesha uaminifu wa agano lako katika namna ya ajabu, wewe uokoaye kwa mkono wa haki yako wale wanao kukimbilia wewe kutoka kwa adui zao.
Proslavi na meni dobrotu svoju, ti koji od dušmana izbavljaš one što se utječu desnici tvojoj.
8 Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche katika kivuli cha mbawa zako
Čuvaj me k'o zjenicu oka, sakrij me u sjenu krila svojih
9 kutoka katika uwepo wa waovu ambao wananitusi, adui zangu wanizungukao.
od zlotvora što na me nasrću. Dušmani me bijesni opkoljuju,
10 Wao hawana huruma kwa yeyote; midomo yao huongea kwa majivuno.
bešćutno srce zatvaraju i ustima zbore naduto,
11 Wao wame zizunguka hatua zangu. Wamekaza macho yao wanishambulie mpaka ardhini.
Koraci njini sad me okružuju, smjeraju da me na zemlju obore;
12 Wao ni kama mfano wa hasira ya simba mawindoni. Ni kama simba kijana anapotokea mafichoni.
slični lavu dok se, zinuv, na plijen obara i laviću što vreba u potaji.
13 Inuka, Yahwe! Uwashambulie! Uwaangushe chini kwenye nyuso zao! Uyaokoe maisha yangu kutokana na waovu kwa upanga wako!
Ustani, Jahve, presretni ga i obori, od grešnika mi život mačem spasi,
14 Uniokoe kutoka kwa watu hawa kwa mkono wako, Yahwe, kutoka kwa watu wa dunia hii ambao utajiri wao ni maisha haya pekee! Wewe utayajaza matumbo ya wale uwathaminio na utajiri; watakuwa na watoto wengi na wataacha utajiri wao kwa watoto wao.
a rukom od ljudi, Gospodine: od ljudi kojih je dio ovaj život, kojima želudac puniš dobrima; kojih su sinovi siti, a djeci daju što im pretekne.
15 Bali mimi, nitauona uso wako katika haki; Nitashuhudiwa, pale nitakapo amka, na macho yako.
A ja ću u pravdi gledati lice tvoje, i jednom kad se probudim, sit ću ga se nagledati.