< Zaburi 17 >
1 Maombi ya Daudi. Sikia ombi langu kwa ajili ya haki, Yawhe; uusikilize mwito wangu wa msaada. Uyasikilize maombi yangu yatokayo katika midomo isiyo na udanganyifu.
【無辜者的懇禱】上主,請靜聽我的伸訴,俯聽我的呼號,請傾聽我出自絕虛偽唇舌的祈禱。
2 Uthibitisho wangu na uje kutoka uweponi mwako; macho yako na yaone kile kilicho sahihi!
願我的案件在你面前判決,願你的眼睛細察何為清白!
3 Kama utaujaribu moyo wangu, kama utakuja kwangu wakati wa usiku, wewe utanitakasa na hautapata mipango yeyote ya uovu; mdomo wangu hautavunja sheria.
任你考驗我的心靈,夜間來視察我,以火鍛鍊我,你總找不到我的邪惡。因我的口總未像人一樣犯了罪過。
4 Kama kwa matendo ya binadamu, ni katika neno la midomo yako ya kuwa nimejiepusha na njia za wahalifu.
我依照你的訓令,遵行法律的正道。
5 Mwenendo wangu umeshikila kwa umakini mwenendo wako; miguu yangu haija teleza.
我的雙腳緊隨了你的腳印,我的腳步決不致蹣跚不定。
6 Nakuita wewe, kwa kuwa unanijibu, Mungu; geizia sikio lako kwangu na usikilize ninapo ongea.
天主,我向你呼號,請你回答我,求你側耳聽我,俯聽我的祈禱。
7 Onyesha uaminifu wa agano lako katika namna ya ajabu, wewe uokoaye kwa mkono wa haki yako wale wanao kukimbilia wewe kutoka kwa adui zao.
請你彰現你奇妙的慈愛,將投奔到你身右邊的人,從敵人的危害中救出來。
8 Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche katika kivuli cha mbawa zako
求你護衛我有如眼中的瞳仁,在你雙翼的庇護下叫我藏身,
9 kutoka katika uwepo wa waovu ambao wananitusi, adui zangu wanizungukao.
使我脫離害我的暴民,及那企圖消滅我的仇人,
10 Wao hawana huruma kwa yeyote; midomo yao huongea kwa majivuno.
他們關閉了鐵石的心腸,口中語言盡是誇大狂妄,
11 Wao wame zizunguka hatua zangu. Wamekaza macho yao wanishambulie mpaka ardhini.
他們的腳步現已把我緊逼,瞪著眼務要將我推倒在地。
12 Wao ni kama mfano wa hasira ya simba mawindoni. Ni kama simba kijana anapotokea mafichoni.
他們好似急於掠食的猛獅,他們又如伏在暗處的壯獅。
13 Inuka, Yahwe! Uwashambulie! Uwaangushe chini kwenye nyuso zao! Uyaokoe maisha yangu kutokana na waovu kwa upanga wako!
上主,起來迎擊制服我的仇讎,上主揮動利劍救我脫離惡徒。
14 Uniokoe kutoka kwa watu hawa kwa mkono wako, Yahwe, kutoka kwa watu wa dunia hii ambao utajiri wao ni maisha haya pekee! Wewe utayajaza matumbo ya wale uwathaminio na utajiri; watakuwa na watoto wengi na wataacha utajiri wao kwa watoto wao.
上主,求你親手將他們治死,殺死他們,使他們離開此世,滅絕他們,使他們不再呼吸。求你使義人享用你的財富,使他們的子女也心滿意足,再把剩餘的給自己的子女。
15 Bali mimi, nitauona uso wako katika haki; Nitashuhudiwa, pale nitakapo amka, na macho yako.
我因我的正義能享見你的聖顏,我醒來得能盡情欣賞你的慈面