< Zaburi 17 >

1 Maombi ya Daudi. Sikia ombi langu kwa ajili ya haki, Yawhe; uusikilize mwito wangu wa msaada. Uyasikilize maombi yangu yatokayo katika midomo isiyo na udanganyifu.
[David kah Thangthuinah] Duengnah he han ya lah BOEIPA! ka tamlung he hnatung lamtah ka ka ah hlangthai palat om kolla ka thangthuinah he na hna han kaeng lah.
2 Uthibitisho wangu na uje kutoka uweponi mwako; macho yako na yaone kile kilicho sahihi!
Ka laitloeknah he namah taeng lamkah halo saeh lamtah na mik loh vanatnah te hmuh van saeh.
3 Kama utaujaribu moyo wangu, kama utakuja kwangu wakati wa usiku, wewe utanitakasa na hautapata mipango yeyote ya uovu; mdomo wangu hautavunja sheria.
Ka lungbuei he noem lah, khoyin ah nan cawh tih kai nan picai dae na hmu moenih. Ka ka he a tholh pawt ham ka mangtaeng coeng.
4 Kama kwa matendo ya binadamu, ni katika neno la midomo yako ya kuwa nimejiepusha na njia za wahalifu.
Hlang kah thaphu dongah na hmuilai lamkah olka nen ni kai loh dingca kah a caehlong te ka rhael.
5 Mwenendo wangu umeshikila kwa umakini mwenendo wako; miguu yangu haija teleza.
Na namtlak kah ka khokan khaw ka kho a paloe pawt ham n'duel dae.
6 Nakuita wewe, kwa kuwa unanijibu, Mungu; geizia sikio lako kwangu na usikilize ninapo ongea.
Kai nan doo dongah kamah loh nang ni kang khue. Pathen aw kai taengla na hna han duen lamtah ka olthui he hnatun lah.
7 Onyesha uaminifu wa agano lako katika namna ya ajabu, wewe uokoaye kwa mkono wa haki yako wale wanao kukimbilia wewe kutoka kwa adui zao.
Caemrhal lamkah aka ying rhoek te na bantang kut neh aka khang, na sitlohnah tah khobaerhambae la tueng.
8 Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche katika kivuli cha mbawa zako
Na mikhmuh ah thenhnaih nu bangla na phae hlip ah kai n'ying sak lamtah,
9 kutoka katika uwepo wa waovu ambao wananitusi, adui zangu wanizungukao.
kai aka rhoelrhak sak halang rhoek neh, kai taengah ka hinglu aka vael ka thunkha rhoek hmai lamkah kai he n'dawndah lah.
10 Wao hawana huruma kwa yeyote; midomo yao huongea kwa majivuno.
Amih te a komoelh uh, a kam a khuep uh tih hoemdamnah a thui uh.
11 Wao wame zizunguka hatua zangu. Wamekaza macho yao wanishambulie mpaka ardhini.
Tahae ah kaimih kah khokan te a hil uh tih amih mik loh kaimih he m'vael uh coeng. Kaimih he Diklai la aka tulh ham tawn uh.
12 Wao ni kama mfano wa hasira ya simba mawindoni. Ni kama simba kijana anapotokea mafichoni.
A mueisa mah rhamsa ngaeh ham aka moo sathueng neh sathuengca bangla a huephael ah kho a sak.
13 Inuka, Yahwe! Uwashambulie! Uwaangushe chini kwenye nyuso zao! Uyaokoe maisha yangu kutokana na waovu kwa upanga wako!
Aw BOEIPA thoo lah, anih hmai ah khoep mah lamtah bung sak. Na cunghang neh halang kut lamkah ka hinglu he han hlah lah.
14 Uniokoe kutoka kwa watu hawa kwa mkono wako, Yahwe, kutoka kwa watu wa dunia hii ambao utajiri wao ni maisha haya pekee! Wewe utayajaza matumbo ya wale uwathaminio na utajiri; watakuwa na watoto wengi na wataacha utajiri wao kwa watoto wao.
BOEIPA namah kut dongkah hlang rhoek lamloh, khosaknah lamkah hlang rhoek lamloh, na hingnah dongah amih kah hamsum khaw na khoem pah tih a bung na hah sak. Ca rhoek khaw hah uh tih a coih te a camoe patoeng ham a paih uh.
15 Bali mimi, nitauona uso wako katika haki; Nitashuhudiwa, pale nitakapo amka, na macho yako.
Kai ngawn tah, duengnah dongah na maelhmai ka hmuh vetih, namah kah muei la ka haenghang vaengah, ngaikhuek la ka om ni.

< Zaburi 17 >