< Zaburi 17 >
1 Maombi ya Daudi. Sikia ombi langu kwa ajili ya haki, Yawhe; uusikilize mwito wangu wa msaada. Uyasikilize maombi yangu yatokayo katika midomo isiyo na udanganyifu.
Hina Gode! Na sia: be goe nabima. Na moloidafa fofada: su ba: ma: ne Dima edegesa. Na da Dia na fidima: ne Dima diginiwane wele sia: sa. Dia nabima. Na da ogogole hame sia: ne gadosa.
2 Uthibitisho wangu na uje kutoka uweponi mwako; macho yako na yaone kile kilicho sahihi!
Dia da na moloidafa hou dawa: beba: le, Dia da na fidima: ne fofada: mu.
3 Kama utaujaribu moyo wangu, kama utakuja kwangu wakati wa usiku, wewe utanitakasa na hautapata mipango yeyote ya uovu; mdomo wangu hautavunja sheria.
Dia na dogo dawa: Di da gasi ganodini nama misini, na hou huluane abodele ba: su. Di da na hou amo ganodini, wadela: i hanai hou hamedafa ba: i.
4 Kama kwa matendo ya binadamu, ni katika neno la midomo yako ya kuwa nimejiepusha na njia za wahalifu.
Eno dunu da wadela: i sia: bagade sia: sa. Be na lafiga agoai hame sia: sa. Na da Dia hamoma: ne sia: i amo fa: no bobogei. Amola nimi bagade hou amoma hame fa: no bobogei.
5 Mwenendo wangu umeshikila kwa umakini mwenendo wako; miguu yangu haija teleza.
Na da eso huluane Dia logodili ahoasu amola na da afuda: le hamedafa asi.
6 Nakuita wewe, kwa kuwa unanijibu, Mungu; geizia sikio lako kwangu na usikilize ninapo ongea.
Hina Gode! Na Dima sia: ne gadosu amo da Dia na sia: ne gadobe bu alofele iaha. Amaiba: le, nama ba: leguda: le, na sia nabima.
7 Onyesha uaminifu wa agano lako katika namna ya ajabu, wewe uokoaye kwa mkono wa haki yako wale wanao kukimbilia wewe kutoka kwa adui zao.
Dia asigidafa hou amo nama olelema amola na gaga: ma. Na da Di guga esalea, na da na ha lai ilima gaga: i dagoi ba: sa.
8 Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche katika kivuli cha mbawa zako
Di da Dia si amoma gaga: su hou amo defele, na gaga: ma. Wadela: i hamosu dunu da nama doagala: sa: besa: le, Dia ogelebaha na wamolegema. Nimi bagade ha lai dunu da na guba: le sisiga: sa. Ilia da asigi hou hame dawa: amola ilia da gasa fili sia: daha.
9 kutoka katika uwepo wa waovu ambao wananitusi, adui zangu wanizungukao.
10 Wao hawana huruma kwa yeyote; midomo yao huongea kwa majivuno.
11 Wao wame zizunguka hatua zangu. Wamekaza macho yao wanishambulie mpaka ardhini.
Ilia da na sisiga: le disi. Ilia da na hiougia gudumusa: logo hogoi helesa.
12 Wao ni kama mfano wa hasira ya simba mawindoni. Ni kama simba kijana anapotokea mafichoni.
Ilia da soge laione wa: me agoai, na desega aligili medole manusa: amola dodosa: ne manusa: oulela.
13 Inuka, Yahwe! Uwashambulie! Uwaangushe chini kwenye nyuso zao! Uyaokoe maisha yangu kutokana na waovu kwa upanga wako!
Hina Gode misa! Na ha lai ilima gegene sefasima. Amola, ilima hasalasima. Dia gobihei bagade amoga gegebeba: le, na gaga: ma.
14 Uniokoe kutoka kwa watu hawa kwa mkono wako, Yahwe, kutoka kwa watu wa dunia hii ambao utajiri wao ni maisha haya pekee! Wewe utayajaza matumbo ya wale uwathaminio na utajiri; watakuwa na watoto wengi na wataacha utajiri wao kwa watoto wao.
Wadela: i hamosu dunu da osobo bagadega esalea, ilia da ilia hanai liligi huluane gagusa. Ilia da nama ha laiba: le, Di na gaga: ma. Dia da se iasu bagade ilima ima: ne, gagadole ilegei dagoi. Amo se iasu da ilima ianu, ili baligili amola ilia mano amola ilia mano ilia mano amo defele ilima se iasu ima: ne ba: mu da defea.
15 Bali mimi, nitauona uso wako katika haki; Nitashuhudiwa, pale nitakapo amka, na macho yako.
Be na da wadela: le hame hamoiba: le, na da Di ba: mu. Amola, na da nedigisia, Di guga esalebeba: le, na da hahawane bagade ba: mu.