< Zaburi 16 >

1 Unilinde, Mungu, kwa kuwa nakimbilia kwako kwa ajili ya usalama.
Salaknibannak, O Dios, ta agkamkamangak kenka.
2 Nami ninasema kwa Yahwe, “Wewe ni Bwana wangu; wema wangu ni bure pasipo wewe.
Kunak kenni Yahweh, “Sika ti Apok; awan serserbina ti kinaimbagko no maisinaak kenka.
3 Kama kwa watakatifu walioko duniani, ndio walio bora; furaha yangu yote iko kwao.
No maipapan kadagiti nasantoan a tattao nga adda iti rabaw ti daga, natakneng a tattao, adda kadakuada ti amin a pakaragsakak.
4 Taabu yao itaongezeka, wale watafutao miungu mingine. Sitamimina sadaka ya damu kwa miungu yao. Wala kuyainua majina yao kwa midomo yao.
Umadunto dagiti pakariribukanda, dagiti agbirbiruk kadagiti sabali a dios. Saanakto a mangibukbok kadagiti mainom a daton a dara kadagiti diosda wenno itag-ay dagiti naganda babaen kadagiti bibigko.
5 Yahwe, wewe ni sehemu ya chaguo langu na kikombe changu. Unaishikilia kesho yangu.
O Yahweh, sika ti pinilik a pasetko ken ti kopak. Iggemmo ti masakbayak.
6 Mistari iliyo pimwa imelelazwa mahari pa kufurahisha kwa ajili yangu; hakika urithi ufurahishao ni wangu.
Naisagana para kaniak dagiti uged a pagrukod kadagiti makaay-ayo a lugar; awan duadua a kukuak ti makaay-ayo a tawid.
7 Nitakubariki Yahwe, wewe unishauliye; hata wakati wa usiku akili zangu za nielekeza.
Idaydayawko ni Yahweh, a mangbalbalakad kaniak; isursuronak ti panunotko uray iti rabii.
8 Nimemuweka Yahwe mbele yangu kila wakati, ili nisitikisike kutoka mkono wake wa kuume.
Isaadko ni Yahweh iti sangoanak iti amin a tiempo, tapno saanak a magunggon manipud iti makannawan nga imana!
9 Kwa hiyo moyo wangu unafuraha, utukufu wangu washangilia. Hakika nitaishi katika usalama.
Ngarud, maragsakan ti pusok; itantan-ok isuna iti napadayawan a pusok; awan duadua nga agbiagak a sitatalged.
10 Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol h7585)
Ta saanmo a baybay-an ti kararuak idiay sheol. Saanmo nga ipalubos a makita ti napudno kenka ti abut. (Sheol h7585)
11 Wewe hunifundisha njia ya maisha; furaha tele inakaa katika uwepo wako; furaha inakaa katika mkono wako wa kuume milele!”
Isursurom kaniak ti dalan ti biag; aglaplapusanan a rag-o ti agnanaed iti presensiam; iti agnanayon, adda ragsak iti makannawan nga imam.

< Zaburi 16 >