< Zaburi 16 >
1 Unilinde, Mungu, kwa kuwa nakimbilia kwako kwa ajili ya usalama.
Miktam. Davidov. Čuvaj me, Bože, jer se tebi utječem.
2 Nami ninasema kwa Yahwe, “Wewe ni Bwana wangu; wema wangu ni bure pasipo wewe.
Jahvi rekoh: “Ti si moj gospodar, nema mi blaženstva bez tebe!”
3 Kama kwa watakatifu walioko duniani, ndio walio bora; furaha yangu yote iko kwao.
Za svetima što su u zemlji sav plamtim od čežnje!
4 Taabu yao itaongezeka, wale watafutao miungu mingine. Sitamimina sadaka ya damu kwa miungu yao. Wala kuyainua majina yao kwa midomo yao.
Gomilaju patnje moje koji slijede bogove tuđe. Ja im ljevanica nalijevat' neću, ime im spominjat' neću usnama.
5 Yahwe, wewe ni sehemu ya chaguo langu na kikombe changu. Unaishikilia kesho yangu.
Jahve mi je baština i kalež: Ti u ruci držiš moju sudbinu.
6 Mistari iliyo pimwa imelelazwa mahari pa kufurahisha kwa ajili yangu; hakika urithi ufurahishao ni wangu.
Na divnu zemlju padoše mi konopi, vrlo mi je mila moja baština.
7 Nitakubariki Yahwe, wewe unishauliye; hata wakati wa usiku akili zangu za nielekeza.
Blagoslivljam Jahvu koji me svjetuje te me i noću srce opominje.
8 Nimemuweka Yahwe mbele yangu kila wakati, ili nisitikisike kutoka mkono wake wa kuume.
Jahve mi je svagda pred očima; jer mi je zdesna, neću posrnuti.
9 Kwa hiyo moyo wangu unafuraha, utukufu wangu washangilia. Hakika nitaishi katika usalama.
Stog' mi se raduje srce i kliče duša, i tijelo mi spokojno počiva.
10 Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol )
Jer mi nećeš ostavit' dušu u Podzemlju ni dati da pravednik tvoj truleži ugleda. (Sheol )
11 Wewe hunifundisha njia ya maisha; furaha tele inakaa katika uwepo wako; furaha inakaa katika mkono wako wa kuume milele!”
Pokazat ćeš mi stazu u život, puninu radosti pred licem svojim, sebi zdesna blaženstvo vječno.