< Zaburi 16 >

1 Unilinde, Mungu, kwa kuwa nakimbilia kwako kwa ajili ya usalama.
大衛的金詩。 上帝啊,求你保佑我, 因為我投靠你。
2 Nami ninasema kwa Yahwe, “Wewe ni Bwana wangu; wema wangu ni bure pasipo wewe.
我的心哪,你曾對耶和華說:你是我的主; 我的好處不在你以外。
3 Kama kwa watakatifu walioko duniani, ndio walio bora; furaha yangu yote iko kwao.
論到世上的聖民,他們又美又善, 是我最喜悅的。
4 Taabu yao itaongezeka, wale watafutao miungu mingine. Sitamimina sadaka ya damu kwa miungu yao. Wala kuyainua majina yao kwa midomo yao.
以別神代替耶和華的, 他們的愁苦必加增; 他們所澆奠的血我不獻上; 我嘴唇也不提別神的名號。
5 Yahwe, wewe ni sehemu ya chaguo langu na kikombe changu. Unaishikilia kesho yangu.
耶和華是我的產業, 是我杯中的分; 我所得的,你為我持守。
6 Mistari iliyo pimwa imelelazwa mahari pa kufurahisha kwa ajili yangu; hakika urithi ufurahishao ni wangu.
用繩量給我的地界,坐落在佳美之處; 我的產業實在美好。
7 Nitakubariki Yahwe, wewe unishauliye; hata wakati wa usiku akili zangu za nielekeza.
我必稱頌那指教我的耶和華; 我的心腸在夜間也警戒我。
8 Nimemuweka Yahwe mbele yangu kila wakati, ili nisitikisike kutoka mkono wake wa kuume.
我將耶和華常擺在我面前, 因他在我右邊,我便不致搖動。
9 Kwa hiyo moyo wangu unafuraha, utukufu wangu washangilia. Hakika nitaishi katika usalama.
因此,我的心歡喜,我的靈快樂; 我的肉身也要安然居住。
10 Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol h7585)
因為你必不將我的靈魂撇在陰間, 也不叫你的聖者見朽壞。 (Sheol h7585)
11 Wewe hunifundisha njia ya maisha; furaha tele inakaa katika uwepo wako; furaha inakaa katika mkono wako wa kuume milele!”
你必將生命的道路指示我。 在你面前有滿足的喜樂; 在你右手中有永遠的福樂。

< Zaburi 16 >