< Zaburi 150 >
1 Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe katika patakatifu pake; msifuni katika mbingu za ukuu wake.
Idaydayawyo ni Yahweh. Idaydayawyo ti Dios iti nasantoan a dissona; idaydayawyo isuna kadagiti langit iti pannakabalinna.
2 Msifuni yeye kwa matendo yake makuu; msifuni yeye kwa kadri ya wingi wa ukuu wake.
Idaydayawyo isuna gapu kadagiti nabibileg nga ar-aramidna; idaydayawyo isuna gapu iti saan a matukod a kinaindaklanna.
3 Msifuni kwa mlipuko wa pembe; msifuni kwa kinanda na kinubi.
Idaydayawyo isuna iti uni ti trumpeta; idaydayawyo isuna iti lira ken arpa.
4 Msifuni kwa ngoma na kucheza; msifuni kwa vyombo vya nyuzi na filimbi.
Idaydayawyo isuna kadagiti pandereta ken salsala; idaydayawyo isuna kadagiti nakuerdasan nga instrumento ken flauta.
5 Msifuni kwa matoazi yavumayo; msifuni kwa matoazi avumayo sana.
Idaydayawyo isuna kadagiti napipigsa a piangpiang; idaydayawyo isuna iti napipigsa nga aweng dagiti piangpiang.
6 Kila kilicho na pumzi kimsifu Yahwe. Msifuni Yahwe.
Ami nga adda angesna ket idaydayawda ni Yahweh. Idaydayawyo ni Yahweh.