Preface
Bibles
+
SWN
HBA
X
<
h9033
>
X
<
^
>
<
>
<
Zaburi
150
>
1
Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe katika patakatifu pake; msifuni katika mbingu za ukuu wake.
הללו-יה הללו-אל בקדשו הללוהו ברקיע עזו
2
Msifuni yeye kwa matendo yake makuu; msifuni yeye kwa kadri ya wingi wa ukuu wake.
הללוהו בגבורתיו הללוהו כרב גדלו
3
Msifuni kwa mlipuko wa pembe; msifuni kwa kinanda na kinubi.
הללוהו בתקע שופר הללוהו בנבל וכנור
4
Msifuni kwa ngoma na kucheza; msifuni kwa vyombo vya nyuzi na filimbi.
הללוהו בתף ומחול הללוהו במנים ועגב
5
Msifuni kwa matoazi yavumayo; msifuni kwa matoazi avumayo sana.
הללוהו בצלצלי-שמע הללוהו בצלצלי תרועה
6
Kila kilicho na pumzi kimsifu Yahwe. Msifuni Yahwe.
כל הנשמה תהלל יה הללו-יה
<
Zaburi
150
>
Go to
>
Bookmark
/
Concordance
/
Maps
/
Report Issue
The world's first Holy Bible un-translation!