< Zaburi 149 >

1 Msifuni Yahwe. Mwimbieni Yahwe wimbo mpya; imbeni sifa zake katika kusanyiko la waaminifu.
KAULEKI kaul kap pot ong Ieowa; pokon saraui en kapinga i.
2 Israeli ishangilie katika yeye aliye iumba; watu wa Sayuni na washangilie katika mfalme wao.
Israel en peren kida i, me kotin wia irail da; seri en Sion en peren kida arail Nanmarki.
3 Nao walisifu jina lake kwa kucheza; na wamuimbie sifa yeye kwa ngoma na kinubi.
Ren kapinga mar a ni pwin en pokol; ren wia aip o arp.
4 Kwa kuwa Yahwe hupata furaha katika watu wake; huwapa utukufu wanyeyekevu kwa wokovu.
Pwe Ieowa kotin peren kida sapwilim a aramas akan; a kotin kapwate kin me luet akan lingan.
5 Wacha Mungu wauchangilie ushindi; nao waimbe kwa furaha vitandani mwao.
Lelapok kan en pereperen o kapinga, o ngisingis pon ki arail akan.
6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na panga mbili zenye makali mkononi mwao
Au arail en kapinga Kot, o kodlas kong en mi nan pa arail.
7 kutekeleza kisasi juu ya mataifa na matendo ya adhabu juu ya watu.
Pwe ren depuk ong men liki kan, o kaloke wei kan,
8 Nao watawafunga wafalme wao kwa minyororo na wakuu wao kwa pingu za chuma. Watatekeleza hukumu ambayo imeandikwa.
Pwen salie kidi arail nanmarki kan sal, o me kasampwal re’rail ki sal mata,
9 Hii itakuwa ni heshima kwa ajili ya watakatifu wake wote. Msifuni Yahwe.
Pwe ren kapwaiada kalokolok, me kileledi ong irail er mas o. Iduen wau en sapwilim a lelapok kan. Aleluia!

< Zaburi 149 >