< Zaburi 149 >

1 Msifuni Yahwe. Mwimbieni Yahwe wimbo mpya; imbeni sifa zake katika kusanyiko la waaminifu.
Cantate al Signore un canto nuovo; la sua lode nell'assemblea dei fedeli. Alleluia.
2 Israeli ishangilie katika yeye aliye iumba; watu wa Sayuni na washangilie katika mfalme wao.
Gioisca Israele nel suo Creatore, esultino nel loro Re i figli di Sion.
3 Nao walisifu jina lake kwa kucheza; na wamuimbie sifa yeye kwa ngoma na kinubi.
Lodino il suo nome con danze, con timpani e cetre gli cantino inni.
4 Kwa kuwa Yahwe hupata furaha katika watu wake; huwapa utukufu wanyeyekevu kwa wokovu.
Il Signore ama il suo popolo, incorona gli umili di vittoria.
5 Wacha Mungu wauchangilie ushindi; nao waimbe kwa furaha vitandani mwao.
Esultino i fedeli nella gloria, sorgano lieti dai loro giacigli.
6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na panga mbili zenye makali mkononi mwao
Le lodi di Dio sulla loro bocca e la spada a due tagli nelle loro mani,
7 kutekeleza kisasi juu ya mataifa na matendo ya adhabu juu ya watu.
per compiere la vendetta tra i popoli e punire le genti;
8 Nao watawafunga wafalme wao kwa minyororo na wakuu wao kwa pingu za chuma. Watatekeleza hukumu ambayo imeandikwa.
per stringere in catene i loro capi, i loro nobili in ceppi di ferro;
9 Hii itakuwa ni heshima kwa ajili ya watakatifu wake wote. Msifuni Yahwe.
per eseguire su di essi il giudizio gia scritto: questa è la gloria per tutti i suoi fedeli. Alleluia.

< Zaburi 149 >