< Zaburi 149 >

1 Msifuni Yahwe. Mwimbieni Yahwe wimbo mpya; imbeni sifa zake katika kusanyiko la waaminifu.
Aleluja! Pjevajte Jahvi pjesmu novu i u zboru svetih hvalu njegovu!
2 Israeli ishangilie katika yeye aliye iumba; watu wa Sayuni na washangilie katika mfalme wao.
Nek' se raduje Izrael Stvoritelju svojem! Kralju svom neka klikću sinovi Siona!
3 Nao walisifu jina lake kwa kucheza; na wamuimbie sifa yeye kwa ngoma na kinubi.
Neka u kolu hvale ime njegovo, bubnjem i citarom neka ga slave!
4 Kwa kuwa Yahwe hupata furaha katika watu wake; huwapa utukufu wanyeyekevu kwa wokovu.
Jer Jahve ljubi narod svoj, spasenjem ovjenčava ponizne!
5 Wacha Mungu wauchangilie ushindi; nao waimbe kwa furaha vitandani mwao.
Neka se sveti raduju u slavi, neka kliču s ležaja svojih!
6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na panga mbili zenye makali mkononi mwao
Nek' im pohvale Božje budu na ustima, mačevi dvosjekli u rukama
7 kutekeleza kisasi juu ya mataifa na matendo ya adhabu juu ya watu.
da nad pucima izvrše odmazdu i kaznu nad narodima;
8 Nao watawafunga wafalme wao kwa minyororo na wakuu wao kwa pingu za chuma. Watatekeleza hukumu ambayo imeandikwa.
da im kraljeve bace u lance, a odličnike u okove gvozdene;
9 Hii itakuwa ni heshima kwa ajili ya watakatifu wake wote. Msifuni Yahwe.
da na njima izvrše sud davno napisan - nek' bude na čast svim svetima njegovim! Aleluja!

< Zaburi 149 >