< Zaburi 148 >

1 Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
Aleluia! Louvai ao SENHOR desde os céus; louvai-o nas alturas.
2 Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
Louvai-o todos os seus anjos; louvai-o todos os seus exércitos.
3 Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
Louvai-o, sol e lua; louvai-o, todas as estrelas luminosas.
4 Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
Louvai-o, céus dos céus, e as águas que [estais] sobre os céus.
5 Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
Louvem ao nome do SENHOR; porque pela ordem dele foram criados.
6 Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
E os firmou para todo o sempre; e deu [tal] decreto, que não será traspassado.
7 Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
Louvai ao SENHOR [vós] da terra: os monstros marinhos, e todos os abismos;
8 moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
O fogo e a saraiva, a neve e o vapor; o vento tempestuoso, que executa sua palavra.
9 Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
Os montes e todos os morros; árvores frutíferas, e todos os cedros.
10 wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
As feras, e todo o gado; répteis, e aves que tem asas.
11 Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
Os reis da terra, e todos os povos; os príncipes, e todos os juízes da terra.
12 wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
Os rapazes, e também as moças; os velhos com os jovens.
13 Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
Louvem ao nome do SENHOR; pois só o nome dele é exaltado; sua majestade [está] sobre a terra e o céu.
14 Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.
E ele exaltou o poder de seu povo: o louvor de todos os seus santos, os filhos de Israel, o povo [que está] perto dele. Aleluia!

< Zaburi 148 >