< Zaburi 148 >

1 Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
خداوند را سپاس باد! خداوند را از عرش برین ستایش کنید، ای کسانی که در آسمانها ساکن هستید.
2 Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
ای همهٔ فرشتگان، خداوند را ستایش کنید. ای همهٔ لشکرهای آسمانی، او را ستایش کنید.
3 Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
ای آفتاب و ماه، خداوند را ستایش کنید. ای همهٔ ستارگان درخشان، او را ستایش کنید.
4 Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
ای آسمانها و ای بخارهایی که فوق ابرهایید، او را ستایش کنید.
5 Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
همگی خداوند را ستایش کنید، زیرا به فرمان او آفریده شدید.
6 Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
او شما را تا ابد بر جایتان ثابت نموده است و آنچه او ثابت نموده است هرگز تغییر نخواهد کرد.
7 Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
ای همهٔ نهنگان و موجوداتی که در اعماق دریا هستید، خداوند را ستایش کنید.
8 moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
ای آتش و تگرگ و مه و تندباد که مطیع فرمان خداوند هستید، او را ستایش کنید.
9 Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
ای کوهها، ای تپه‌ها، ای درختان میوه‌دار، ای سروهای آزاد، خداوند را ستایش کنید.
10 wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
ای حیوانات وحشی و اهلی، ای پرندگان و خزندگان، خداوند را ستایش کنید.
11 Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
ای پادشاهان و قومهای جهان، ای رهبران و بزرگان دنیا،
12 wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
ای پسران و دختران، ای پیران و جوانان، خداوند را ستایش کنید.
13 Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
همهٔ شما نام خداوند را ستایش کنید، زیرا تنها اوست خدای متعال؛ شکوه و جلال او برتر از زمین و آسمان است.
14 Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.
او بنی‌اسرائیل را که قوم برگزیده‌اش هستند توانایی می‌بخشد تا او را ستایش کنند. خداوند را سپاس باد!

< Zaburi 148 >