< Zaburi 148 >

1 Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
Halleluja! Lobet den HERRN vom Himmel her, lobet ihn in den Himmelshöhen!
2 Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
Lobet ihn, alle seine Engel, lobet ihn, alle seine Heerscharen!
3 Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
Lobet ihn, Sonne und Mond, lobet ihn, alle ihr leuchtenden Sterne!
4 Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
Lobet ihn, ihr Himmel der Himmel, und ihr Wasser oberhalb des Himmels!
5 Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
Loben sollen sie den Namen des HERRN, denn er gebot, da waren sie geschaffen,
6 Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
und er hat sie hingestellt für immer und ewig und ihnen ein Gesetz gegeben, das übertreten sie nicht.
7 Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
Lobet den HERRN von der Erde her, ihr Seeungeheuer und alle Meeresfluten,
8 moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
du Feuer und Hagel, du Schnee und Nebel, du Sturmwind, der sein Gebot vollzieht;
9 Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
ihr Berge und Hügel allesamt, ihr Fruchtbäume und Zedern allzumal,
10 wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
ihr Tiere alle, wilde und zahme, du Gewürm und ihr beschwingte Vögel,
11 Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
ihr Könige der Erde und alle Völkerschaften, ihr Fürsten und alle Richter auf Erden,
12 wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
ihr Jünglinge mitsamt den Jungfrauen, ihr Greise samt den Jungen!
13 Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
Sie alle sollen loben den Namen des HERRN, denn sein Name allein ist erhaben; seine Hoheit überragt die Erde und den Himmel.
14 Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.
Er hat sein Volk aufs neue zu Ehren gebracht: ein Ruhm ist das für alle seine Frommen, für Israels Söhne, das Volk, das am nächsten ihm steht. Halleluja!

< Zaburi 148 >