< Zaburi 148 >
1 Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
Alléluia.
2 Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
Louez-le, vous tous, ses anges; louez-le, vous toutes, ses puissances.
3 Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
Louez-le, soleil et lune; louez-le, vous toutes, étoiles de la nuit, et lumière du jour.
4 Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
Louez-le, cieux des cieux, et que toutes les eaux qui sont au-dessus des cieux
5 Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
Louent le nom du Seigneur. Car lui-même a dit, et les choses ont été faites: lui-même a commandé, et elles ont été créées.
6 Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
Il les a établies à jamais, et pour les siècles des siècles: il leur a donné une loi, et elle ne sera pas détruite.
7 Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
Louez le Seigneur, habitants de la terre; vous, dragons, et vous tous, abîmes.
8 moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
Feu, grêle, neige, glace, vents de tempêtes, qui accomplissez sa parole:
9 Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
Montagnes et vous toutes, collines, arbres fruitiers, et vous tous, cèdres;
10 wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
Bêtes sauvages, et vous tous, troupeaux; serpents, oiseaux du ciel;
11 Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
Rois de la terre, et vous tous, peuples; princes, et vous tous, juges de la terre.
12 wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
Que les jeunes hommes et les vierges, les vieillards et ceux qui sont plus jeunes, louent le nom du Seigneur,
13 Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
Parce qu’il est le seul dont le nom a été exalté.
14 Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.
Sa louange est au-dessus du ciel et de la terre, et il a exalté la corne de son peuple.