< Zaburi 148 >
1 Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
Hallelujah! Looft den HEERE uit de hemelen; looft Hem in de hoogste plaatsen!
2 Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
Looft Hem, al Zijn engelen! Looft Hem, al Zijn heirscharen!
3 Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
Looft Hem, zon en maan! Looft Hem, alle gij lichtende sterren!
4 Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
Looft Hem, gij hemelen der hemelen! en gij wateren, die boven de hemelen zijt!
5 Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
Dat zij den Naam des HEEREN loven; want als Hij het beval, zo werden zij geschapen.
6 Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
En Hij heeft ze bevestigd voor altoos in eeuwigheid; Hij heeft hun een orde gegeven, die geen van hen zal overtreden.
7 Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
Looft den HEERE, van de aarde; gij walvissen en alle afgronden!
8 moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
Vuur en hagel, sneeuw en damp; gij stormwind, die Zijn woord doet!
9 Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
Gij bergen en alle heuvelen; vruchtbomen en alle cederbomen!
10 wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
Het wild gedierte en alle vee; kruipend gedierte en gevleugeld gevogelte!
11 Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
Gij koningen der aarde, en alle volken, gij vorsten, en alle rechters der aarde!
12 wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
Jongelingen en ook maagden; gij ouden met de jongen!
13 Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
Dat zij den Naam des HEEREN loven; want Zijn Naam alleen is hoog verheven; Zijn majesteit is over de aarde en den hemel.
14 Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.
En Hij heeft den hoorn Zijns volks verhoogd, den roem al Zijner gunstgenoten, der kinderen Israels, des volks, dat nabij Hem is. Hallelujah!