< Zaburi 147 >

1 Msifuni Yahwe, kwa maana ni vyema kumwimbia sifa Mungu wetu, ni kuzuri, kusifu kwa faa sana.
할렐루야! 우리 하나님께 찬양함이 선함이여 찬송함이 아름답고 마땅하도다
2 Yahwe huijenga tena Yerusalemu, huwakusanya pamoja watu wa Israeli waliotawanyika.
여호와께서 예루살렘을 세우시며 이스라엘의 흩어진 자를 모으시며
3 Huponya mioyo iliyopondeka na kuganga majeraha yao.
상심한 자를 고치시며 저희 상처를 싸매시는도다
4 Huzihesabu nyota, naye huzipa majina zote.
저가 별의 수효를 계수하시고 저희를 다 이름대로 부르시는도다
5 Ukuu ni wa Bwana wetu na nguvu zake ni za kutisha, ufahamu wake hauwezi kupimika.
우리 주는 광대하시며 능력이 많으시며 그 지혜가 무궁하시도다
6 Yahwe huwainua wanyonge, huwashusha chini wenye jeuri.
여호와께서 겸손한 자는 붙드시고 악인은 땅에 엎드러뜨리시는도다
7 Mwimbieni Yahwe kwa shukurani, mwimbieni sifa Mungu wetu kwa kinubi.
감사함으로 여호와께 노래하며 수금으로 하나님께 찬양할지어다!
8 Huzifunika mbingu kwa mawingu na huiandaa mvua kwa ajili ya nchi, akizifanya nyasi kukua juu ya milima.
저가 구름으로 하늘을 덮으시며 땅을 위하여 비를 예비하시며 산에 풀이 자라게 하시며
9 Huwapa wanyama chakula na wana kunguru waliapo.
들짐승과 우는 까마귀 새끼에게 먹을 것을 주시는도다
10 Hapati furaha katika nguvu ya farasi, wala haridhii miguu imara ya mwanadamu.
여호와는 말의 힘을 즐거워 아니하시며 사람의 다리도 기뻐아니하시고
11 Yahwe huridhia katika wale wanao muheshimu yeye, watumainio katika uaminifu wa agano lake.
자기를 경외하는 자와 그 인자하심을 바라는 자들을 기뻐하시는도다
12 Msifuni Yahwe, Yerusalemu, msifuni Mungu wenu, Sayuni.
예루살렘아 여호와를 찬송할지어다! 시온아 네 하나님을 찬양할지어다!
13 Maana yeye huyakaza mapingo ya malango yako, huwabariki watoto wako kati yako.
저가 네 문빗장을 견고히 하시고 너의 가운데 자녀에게 복을 주셨으며
14 Huletamafanikio ndani ya mipaka yako, hukutosheleza kwa ngano bora.
네 경내를 평안케 하시고 아름다운 밀로 너를 배불리시며
15 Huipeleka amri yake juu ya nchi, amri zake hupiga mbio sana.
그 명을 땅에 보내시니 그 말씀이 속히 달리는도다
16 Huifanya theluji kama sufu, huitawanya barafu kama majivu.
눈을 양털같이 내리시며 서리를 재 같이 흩으시며
17 Hutupa mvua ya mawe kama makombo, ni nani awezaye kuhimili baridi aitumayo?
우박을 떡 부스러기 같이 뿌리시나니 누가 능히 그 추위를 감당하리요
18 Hutuma amri zake na kuziyeyusha, huvumisha upepo wake na hutiririsha maji.
그 말씀을 보내사 그것들을 녹이시고 바람을 불게 하신즉 물이 흐르는도다
19 Hutangaza neno lake kwa Yakobo, amri zake na hukumu zake kwa Israeli.
저가 그 말씀을 야곱에게 보이시며 그 율례와 규례를 이스라엘에게 보이시는도다
20 Hajafanya hivyo kwa taifa linginelo lolote, na kama ilivyo amri zake, hawazijui. Msifuni Yahwe.
아무 나라에게도 이같이 행치 아니하셨나니 저희는 그 규례를 알지 못하였도다 할렐루야!

< Zaburi 147 >