< Zaburi 146 >
1 Msifu Yahwe. Msifu Yahwe, ee nafsi yangu.
Алілуя!
2 Ninamsifu Mungu maisha yangu yote; nitamuimbia sifa Mungu wangu ni ngali ni hai.
хвалитиму Господа, поки живу́, співатиму Богу моє́му, аж поки існую!
3 Msiweke imani katika wakuu au wanadamu, ambaye katika yeye hamna wokovu.
Не наді́йтесь на князів, на лю́дського сина, бо в ньому спасі́ння нема:
4 Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
вийде дух його — і він до своєї землі поверта́ється, — того дня його за́думи гинуть!
5 Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
Блаженний, кому́ його поміч — Бог Яковів, що надія його — на Господа, Бога його́,
6 Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
що небо та землю вчинив, море й усе, що є в них, що правди пильнує навіки,
7 Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;
правосу́ддя вчиняє покри́вдженим, що хліба голодним дає! Госпо́дь в'язнів розв'язує,
8 Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
Господь очі сліпим відкриває, Господь випросто́вує зі́гнутих, Господь милує праведних!
9 Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.
Господь обороняє прихо́дьків, сироту́ та вдови́цю підтримує, а дорогу безбожних викри́влює!
10 Yahwe atatawala milele, Mungu wako, Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Yahwe.
Хай царю́є навіки Господь, Бог твій, Сіоне, із роду у рід! Алілу́я!