< Zaburi 146 >

1 Msifu Yahwe. Msifu Yahwe, ee nafsi yangu.
¡Alaben al Señor! ¡Yo alabo al Señor con todo mi ser!
2 Ninamsifu Mungu maisha yangu yote; nitamuimbia sifa Mungu wangu ni ngali ni hai.
Alabaré al Señor mientras viva. Cantaré alabanzas a Dios mientras respire.
3 Msiweke imani katika wakuu au wanadamu, ambaye katika yeye hamna wokovu.
No pongan su confianza en los líderes humanos. Ellos no pueden salvarnos.
4 Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
Tan solo después de un suspiro vuelven al polvo, y ese día todos sus planes mueren con ellos.
5 Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
Felices los que tienen al Dios de Jacob como su ayudador. Su esperanza es el Señor su Dios.
6 Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
El que hizo el cielo y la tierra, el mar con todo lo que en ellos hay. Él es fiel para siempre.
7 Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;
Él garantiza la justicia para los oprimidos. Él da alimento al hambriento. El Señor libera a los prisioneros.
8 Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
El Señor devuelve la vista a los ciegos; levanta a los agobiados, y ama a los que hacen lo recto.
9 Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.
El Señor cuida de los extranjeros que habitan entre nosotros. Él cuida de las viudas y los huérfanos. Sin embargo, no deja prosperar a los malvados.
10 Yahwe atatawala milele, Mungu wako, Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Yahwe.
El Señor reinará para siempre. Oh, Sión, él será tu Dios por todas las generaciones. ¡Alaben al Señor!

< Zaburi 146 >