< Zaburi 146 >

1 Msifu Yahwe. Msifu Yahwe, ee nafsi yangu.
Alléluia! Mon âme, loue l'Éternel!
2 Ninamsifu Mungu maisha yangu yote; nitamuimbia sifa Mungu wangu ni ngali ni hai.
Je louerai l'Éternel, tant que je vivrai; je chanterai mon Dieu, tant que je serai.
3 Msiweke imani katika wakuu au wanadamu, ambaye katika yeye hamna wokovu.
Ne vous confiez pas dans les princes, dans les enfants des hommes, qui ne peuvent secourir!
4 Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
Leur souffle s'exhale, ils rentrent dans leur poudre: ce jour-là, c'en est fait de leurs plans.
5 Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
Heureux celui à qui le Dieu de Jacob est en aide, et dont l'espoir repose sur l'Éternel son Dieu!
6 Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
Il a fait les Cieux et la terre, la mer et tout ce qu'elle contient; Il garde fidélité éternellement;
7 Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;
Il rend justice aux opprimés, donne du pain à ceux qui ont faim; l'Éternel délivre les captifs.
8 Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
L'Éternel ouvre les yeux aux aveugles, l'Éternel relève ceux qui sont affaissés; l'Éternel aime les justes.
9 Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.
L'Éternel prend les étrangers sous sa garde; Il restaure la veuve et l'orphelin; mais Il fait dévier la voie de l'impie.
10 Yahwe atatawala milele, Mungu wako, Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Yahwe.
L'Éternel règne éternellement. Ton Dieu, ô Sion, subsiste dans tous les âges. Alléluia!

< Zaburi 146 >