< Zaburi 146 >
1 Msifu Yahwe. Msifu Yahwe, ee nafsi yangu.
Alleluia, of Aggeus and Zacharias.
2 Ninamsifu Mungu maisha yangu yote; nitamuimbia sifa Mungu wangu ni ngali ni hai.
Praise the Lord, O my soul, in my life I will praise the Lord: I will sing to my God as long as I shall be. Put not your trust in princes:
3 Msiweke imani katika wakuu au wanadamu, ambaye katika yeye hamna wokovu.
In the children of men, in whom there is no salvation.
4 Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
His spirit shall go forth, and he shall return into his earth: in that day all their thoughts shall perish.
5 Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
Blessed is he who hath the God of Jacob for his helper, whose hope is in the Lord his God:
6 Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
Who made heaven and earth, the sea, and all things that are in them.
7 Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;
Who keepeth truth for ever: who executeth judgment for them that suffer wrong: who giveth food to the hungry. The Lord looseth them that are fettered:
8 Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
The Lord enlighteneth the blind. The Lord lifteth up them that are cast down: the Lord loveth the just.
9 Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.
The Lord keepeth the strangers, he will support the fatherless and the widow: and the ways of sinners he will destroy.
10 Yahwe atatawala milele, Mungu wako, Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Yahwe.
The Lord shall reign for ever: thy God, O Sion, unto generation and generation.