< Zaburi 146 >
1 Msifu Yahwe. Msifu Yahwe, ee nafsi yangu.
Aleluja! Hvali, dušo moja, Jahvu!
2 Ninamsifu Mungu maisha yangu yote; nitamuimbia sifa Mungu wangu ni ngali ni hai.
Hvalit ću Jahvu sveg života svojeg. Dok me bude, Bogu svom ću pjevati.
3 Msiweke imani katika wakuu au wanadamu, ambaye katika yeye hamna wokovu.
Ne uzdajte se u knezove, u čovjeka od kog nema spasenja!
4 Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
Iziđe li duh iz njega, u zemlju svoju on se vraća i propadaju sve misli njegove.
5 Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
Blago onom kome je pomoćnik Bog Jakovljev, kome je ufanje u Jahvi, Bogu njegovu,
6 Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
koji stvori nebo i zemlju, more i sve što je u njima; koji ostaje vjeran dovijeka,
7 Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;
potlačenima vraća pravicu, a gladnima kruh daje. Jahve oslobađa sužnje,
8 Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
Jahve slijepcima oči otvara. Jahve uspravlja prignute, Jahve ljubi pravedne.
9 Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.
Jahve štiti tuđince, sirote i udovice podupire, a grešnicima mrsi putove.
10 Yahwe atatawala milele, Mungu wako, Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Yahwe.
Jahve će kraljevati dovijeka, tvoj Bog, Sione, od koljena do koljena. Aleluja!