< Zaburi 145 >

1 Nitakutukuza wewe, Mungu wangu, Mfalme; nitalihimidi jina lako milele na milele.
(다윗의 찬송 시) 왕이신 나의 하나님이여, 내가 주를 높이고 영원히 주의 이름을 송축하리이다
2 Kila siku nitakuhimidi; nitalisifu jina lako milele na milele.
내가 날마다 주를 송축하며 영영히 주의 이름을 송축하리이다
3 Yahwe ndiye mkuu na wakusifiwa sana; ukuu wake hauchunguziki.
여호와는 광대하시니 크게 찬양할 것이라 그의 광대하심을 측량치 못하리로다
4 Kizazi kimoja kitayasifu matendo yako kwa kizazi kijacho na kitatangaza matendo yako makuu.
대대로 주의 행사를 크게 칭송하며 주의 능한 일을 선포하리로다
5 Nitaitafakari fahari ya utukufu wa adhama yako na matendo yako ajabu.
주의 존귀하고 영광스러운 위엄과 주의 기사를 나는 묵상하리이다
6 Watanena juu ya nguvu ya kazi zako za kutisha, nami nitatangaza ukuu wako.
사람들은 주의 두려운 일의 세력을 말할 것이요 나도 주의 광대하심을 선포하리이다
7 Nao watatangaza wingi wa wema wako, na wataimba kuhusu haki yako.
저희가 주의 크신 은혜를 기념하여 말하며 주의 의를 노래하리이다
8 Yahwe ni wa neema na huruma, si mwepesi wa hasira na mwingi katika uaminifu wa agano lake.
여호와는 은혜로우시며, 자비하시며, 노하기를 더디하시며, 인자하심이 크시도다
9 Yahwe ni mwema kwa wote; huruma zake zi juu ya kazi zake zote.
여호와께서는 만유를 선대하시며 그 지으신 모든 것에 긍휼을 베푸시는도다
10 Vyote ulivyo viumba vitakushukuru wewe, Yahwe; waaminifu wako watakutukuza wewe.
여호와여, 주의 지으신 모든 것이 주께 감사하며 주의 성도가 주를 송축하리이다
11 Waaminifu wako watanena juu ya utukufu wa ufalme wako, na watahubiri juu ya nguvu zako.
저희가 주의 나라의 영광을 말하며 주의 능을 일러서
12 Watayafanya matendo makuu ya Mungu ya julikane na wanadamu na utukufu wa fahari ya ufalme wake.
주의 능하신 일과 주의 나라의 위엄의 영광을 인생에게 알게 하리이다
13 Ufalme wako ni wa milele, na mamlaka yako ya dumu kizazi hata kizazi.
주의 나라는 영원한 나라이니 주의 통치는 대대에 이르리이다
14 Yahwe huwategemeza wote waangukao na huwainua wote walioinama chini.
여호와께서는 모든 넘어지는 자를 붙드시며 비굴한 자를 일으키시는도다
15 Macho ya wote yanakungoja wewe; nawe huwapa chakula chao kwa wakati sahihi.
중생의 눈이 주를 앙망하오니 주는 때를 따라 저희에게 식물을 주시며
16 Huufungua mkono wako na hukidhi haja ya kila kiumbe hai.
손을 펴사 모든 생물의 소원을 만족케 하시나이다
17 Yahwe ni mwenye haki katika njia zake zote na neema katika yote afanyayo.
여호와께서는 그 모든 행위에 의로우시며 그 모든 행사에 은혜로우시도다
18 Yahwe yu karibu na wote wamwitao, wale wamwitao yeye katika uaminifu.
여호와께서는 자기에게 간구하는 모든 자 곧 진실하게 간구하는 모든 자에게 가까이 하시는도다
19 Hutimiza haja za wale wanao mheshimu yeye; husikia kilio chao na kuwaokoa.
저는 자기를 경외하는 자의 소원을 이루시며 또 저희 부르짖음을 들으사 구원하시리로다
20 Yahwe huwalinda wale wampendao, lakini atawaangamiza waovu wote.
여호와께서 자기를 사랑하는 자는 다 보호하시고 악인은 다 멸하시리로다
21 Kinywa changu kitazinena sifa za Yahwe; wanadamu wote na walitukuze jina lake takatifu milele na milele.
내 입이 여호와의 영예를 말하며 모든 육체가 그의 성호를 영영히 송축할지로다!

< Zaburi 145 >