< Zaburi 145 >
1 Nitakutukuza wewe, Mungu wangu, Mfalme; nitalihimidi jina lako milele na milele.
Davidin kiitos. Minä ylistän sinua, Jumalani, sinä kuningas, ja kiitän sinun nimeäs aina ja ijankaikkiseti.
2 Kila siku nitakuhimidi; nitalisifu jina lako milele na milele.
Joka päivä minä kunnioitan sinua, ja kiitän sinun nimeäs aina ja ijankaikkisesti.
3 Yahwe ndiye mkuu na wakusifiwa sana; ukuu wake hauchunguziki.
Suuri on Herra, ja sangen kunniallinen, ja hänen suuruutensa on sanomatoin.
4 Kizazi kimoja kitayasifu matendo yako kwa kizazi kijacho na kitatangaza matendo yako makuu.
Suku pitää suvulle jutteleman sinun töitäs, ja sinun voimastas puhuman.
5 Nitaitafakari fahari ya utukufu wa adhama yako na matendo yako ajabu.
Minä ajattelen sinun suuren kunnias kauneutta ja sinun ihmeitäs;
6 Watanena juu ya nguvu ya kazi zako za kutisha, nami nitatangaza ukuu wako.
Että puhuttaisiin sinun ihmeellisten töittes voimasta: ja sinun suurta herrauttas minä juttelen;
7 Nao watatangaza wingi wa wema wako, na wataimba kuhusu haki yako.
Että sinun suuren hyvyytes muisto ylistettäisiin, ja sinun vanhurskautes kiitettäisiin.
8 Yahwe ni wa neema na huruma, si mwepesi wa hasira na mwingi katika uaminifu wa agano lake.
Armollinen ja laupias on Herra, hidas vihaan ja sangen hyvä.
9 Yahwe ni mwema kwa wote; huruma zake zi juu ya kazi zake zote.
Suloinen on Herra kaikille, ja armahtaa kaikkia tekojansa.
10 Vyote ulivyo viumba vitakushukuru wewe, Yahwe; waaminifu wako watakutukuza wewe.
Kiittäkään sinua, Herra, kaikki sinun tekos, ja sinun pyhäs kiittäkään sinua;
11 Waaminifu wako watanena juu ya utukufu wa ufalme wako, na watahubiri juu ya nguvu zako.
Julistakaan sinun valtakuntas kunniaa, ja puhukaa sinun voimastas.
12 Watayafanya matendo makuu ya Mungu ya julikane na wanadamu na utukufu wa fahari ya ufalme wake.
Että sinun voimas tulis ihmisten lapsille tiettäväksi, ja sinun valtakuntas suuri kunnia.
13 Ufalme wako ni wa milele, na mamlaka yako ya dumu kizazi hata kizazi.
Sinun valtakuntas on ijankaikkinen valtakunta, ja sinun herrautes pysyy suvusta sukuun.
14 Yahwe huwategemeza wote waangukao na huwainua wote walioinama chini.
Herra tukee kaikkia kaatuvaisia, ja nostaa kaikkia sullotuita.
15 Macho ya wote yanakungoja wewe; nawe huwapa chakula chao kwa wakati sahihi.
Kaikkein silmät vartioitsevat sinua, ja sinä annat heille ruan ajallansa.
16 Huufungua mkono wako na hukidhi haja ya kila kiumbe hai.
Sinä avaat kätes, ja ravitset kaikki, kuin elävät, suosiolla.
17 Yahwe ni mwenye haki katika njia zake zote na neema katika yote afanyayo.
Vanhurskas on Herra kaikissa teissänsä, ja laupias kaikissa töissänsä.
18 Yahwe yu karibu na wote wamwitao, wale wamwitao yeye katika uaminifu.
Läsnä on Herra kaikkia, jotka häntä avuksensa huutavat, kaikkia, jotka totuudessa häntä avuksensa huutavat.
19 Hutimiza haja za wale wanao mheshimu yeye; husikia kilio chao na kuwaokoa.
Hän tekee, mitä häntä pelkääväiset halajavat, ja kuulee heidän huutonsa, ja auttaa heitä.
20 Yahwe huwalinda wale wampendao, lakini atawaangamiza waovu wote.
Herra varjelee kaikkia, jotka häntä rakastavat, ja hukuttaa kaikki jumalattomat.
21 Kinywa changu kitazinena sifa za Yahwe; wanadamu wote na walitukuze jina lake takatifu milele na milele.
Minun suuni pitää puhuman Herran kiitoksen, ja kaikki liha kunnioittakaan hänen pyhää nimeänsä, aina ja ijankaikkisesti.