< Zaburi 144 >

1 Atukuzwe Yahwe, mwamba wangu, anifundishaye mikono yangu vita na vidole vyangu kupigana.
Hina Gode da na Gaga: sudafa! Ema nodoma! E da na gegema: ne adoba: sa. Amola na gegema: ne momagesa.
2 Wewe ni uaminifu wa agano langu na ngome yangu, mnara wangu mrefu na uniokoaye, ngao yangu na yule ambaye katika yeye napata kimbilio, uyatiishaye mataifa chini yangu.
E da na gagulasa amola na gaga: sa. E da na ougiha aligisu dunu esala, amola na gaga: su dunu esala. Na da se mae nabawane hahawane masa: ne, Ea hou dafawaneyale dawa: sa. E da niha fifi asi gala banenesisa
3 Ee Yahwe, mtu ni kitu gani hata umtazame au mwana wa mtu hata umfikirie?
Hina Gode! Osobo bagade dunu ilia da hamedei agoai galebe. Dia abuliba: le ilima asigibala: ?
4 Mtu ni kama pumzi, siku zake ni kama uvuli upitao.
Ninia da fo fonomene agoai ba: sa. Ninia esalebe eso da baba bobaligilalebe agoai ba: sa.
5 Ee Yahwe uziinamishe mbingu na ushuke chini, uiguse milima na uifanye kutoa moshi.
Hina Gode! Mu gadelale fasili, gudu sa: ima! Goumi digili ba: ma! Amasea, goumi da mobi bubugilalebe ba: mu.
6 Utume umeme uwatawanye adui zangu; upige mishale yako na uwavuruge.
Dia ha lai afagogoma: ne, ha: ha: na gala: su iasima. Dia ha lai dunu hobeama: ne, dadia gala: le se bobogema.
7 Nyosha mkono wako toka juu; uniokoe kutoka katika maji mengi, na kutoka katika mkono wa wageni.
Na da hano lugudua mogo sososa. Dia gadodili, lobo ligia guduli, na hiougia gadoma. Ga fi dunu ilia gasaga na hasalasa: besa: le, Dia gaga: ma.
8 vinywa vyao hunena uongo, na mkono wao wa kuume ni mkono wa uongo.
Ilia da dafawane sia: hamedafa sia: sa. Amola ilia hamomusa: ilegele sia: sea, ogogosa.
9 Nitakuimbia wimbo mpya, Mungu; kwa kinanda cha nyuzi kumi nitakuimbia sifa wewe,
Gode! Na da Dima gesami gaheabolo hea: mu. Na da sani baidama dusa, Dima gesami hea: mu.
10 uwapaye wafalme wokovu, uliye muokoa Daudi mtumishi wako dhidi ya upanga wa uovu.
Di da hina bagade ilia ha lai hasalasima: ne hamosa. Amola Dia hawa: hamosu dunu Da: ibidi gaga: sa.
11 Uniokoe na unitoe mkononi mwa wageni. Midomo yao huongea uongo, na mkono wao wa kuume ni mkono wa uongo.
Na dodona: gi ha lai dunu da na osa: la heda: sa: besa: le, Dia na gaga: ma. Ga fi dunu ilia gasaga na hasalasa: besa: le, Dia gaga: ma. Ilia da dafawane sia: hamedafa sia: sa. Amola ilia hamomusa: ilegele sia: sea, ogogosa.
12 Wana wetu na wawe kama mimea ikuayo kwa ukumbwa timilifu katika ujana wao na binti zetu kama nguzo za pembeni, zilizonakishiwa kwa kupamba jumba la kifahari.
Ninia dunu mano ayeligi amolali, da ha: i manu bugi nasegagini heda: be agoai ganumu da defea. Amola ninia idiwilali, ilia da noga: le lelu duni bugi amo da hina bagade ea diasu hegomaia nina: hamonanebe, amo agoai ba: mu da defea.
13 Ghala zetu na zijae akiba ya kila aina ya mazao, na kondoo wetu wazae elfu na makumi elfu mashambani mwetu.
Ninia liligi legesu diasu ilia ha: i manu amoga nabai ba: mu da defea. Ninia sibi amo da nasegagi sogega esalebe, ilia mano osea: idafa lalelegemu da defea.
14 Kisha ng'ombe wetu watakuwa na nddama wengi. Hakuna atakayevunja kuta zetu; hakutakuwa na uhamisho wala kilio mitaani mwetu.
Ninia bulamagau da mae daba: me asili, mano osea: idafa lalelegemu da defea. Ninia moilai logo ganodini, se nabasu wele sia: su hame nabimu da defea.
15 Wamebarikiwa watu wenye baraka hizo; furaha ina watu ambao Mungu wao ni Yahwe.
Fifi asi afae da amo hou ba: sea, hahawane bagade ganumu. Amola ilia da Hina Gode amo ilia Godedafa ilegesea, ilia da hahawane bagade ganumu.

< Zaburi 144 >