< Zaburi 143 >

1 Ee Yahwe, usikie maombi yangu; sikia kuomba kwangu. Kwa sababu ya uaminifu wa agano lako na haki yako, unijibu!
Y Salmon David. JUNGOG y tinayuyutto, O Jeova; ecungog y guinagaojo sija: opeyo pot y minagajetmo yan y tininasmo.
2 Usimuhukumu mtumishi wako, kwa kuwa machoni pako hamna aliye haki.
Ya chamo jumajalom gui juisio yan y tentagomo: sa taya taotao lalâlâ umajustifica gui menamo.
3 Adui ameifuatia nafsi yangu; amenisukuma hadi chini; amenifanya niishi gizani kama wale ambao wamekwisha kufa siku nyingi zilizopita.
Sa y enimigo guinin japetsigue y antijo; guinin jasaulag papa gui jilo oda y jaanijo: janasagayo gui anae jomjom na lugat sija, taegüije sija y guinin apmam na manmatae.
4 Na roho yangu inazidiwa ndani yangu; moyo wangu unakata tamaa.
Enaomina y espiritujo, lalango gui sumanjalomjo: y corasonjo gui sumanjalomjo triste.
5 Nakumbuka siku za zamani zilizopita; nayatafakari matendo yako yote; nawaza juu ya utimilifu wako.
Jujaso sija y apmam na jaane; jujaso todo y chechomo; jujajaso y checho y canaemo.
6 Nakunyoshea mikono yangu katika maombi; nafsi yangu inakuonea kiu katika nchi kavu. (Selah)
Jujuto mona y canaejo guiya jago: y antijo majo nu jago, taegüije y anglo na tano. (Sila)
7 Unijibu upesi, Yahwe, kwa sababu roho yangu inazimia. Usinifiche uso wako, vinginevyo nitakuwa kama wale waendao chini shimoni.
Jungogyo enseguidas, O Jeova: sa malayo y antijo: chamo na naaatog y matamo guiya guajo; sa noseaja juparejo yan ayo sija y mannunog gui jalom joyo.
8 Unifanye kusikia uaminifu wa agano lako wakati wa asubuhi, maana ninakuamini wewe. Unionyeshe njia niipasayo kutembea kwayo, kwa maana nakuinulia wewe nafsi yangu.
Na jungogyo ni y cariñoso na güinaeyamo gui egaan; sa jagoja nae juangocoyo: natungoyo ni y chalan anae para jufamocat; sa jujatsa julo y antijo guiya jago.
9 Uniokoe dhidi ya adui zangu, Yahwe; nakimbilia kwako ili nijifiche.
Nalibreyo, O Jeova, gui enemigujo sija: jufalagüe jao, ya unnaatogyo.
10 Unifundishe kufanya mapenzi yako, maana wewe ni Mungu wangu. Roho wako mwema na aniongoze mimi katika nchi ya unyoofu.
Fanagüeyo ya jufatinas y minalagomo: sa jago y Yuusso: y espiritumo mauleg; osgaejonyo gui tano y manunas.
11 Ee Yahwe, kwa ajili ya jina lako, unihifadhi hai; katika haki yako uitoe nafsi yangu taabuni.
Nalâlâyo, O Jeova, pot y naanmo: pot y tininasmo, chule y antijo gui chinatsaga.
12 Katika uaminifu wa agano lako uwaondoshe maadui zangu na uwaangamize maadui wa uhai wangu, maana mimi ni mtumishi wako.
Yan pot y cariñoso na güinaeyamo utut y enemigujo sija, ya unyulang todo sija y munapinite y antijo: sa guajo tentagomo.

< Zaburi 143 >