< Zaburi 142 >

1 Kwa sauti yangu namlilia Yahwe anisaidie; kwa sauti yangu naomba kwa ajili ya neema ya Yahwe.
Разума Давиду, внегда быти ему в вертепе молящемуся.
2 Namwaga malalamiko yangu mbele zake; ninamwambia shida zangu.
Гласом моим ко Господу воззвах, гласом моим ко Господу помолихся.
3 Roho yangu inapokuwa dhaifu ndani yangu, wewe unajua mapito yangu. Kwenye njia niipitayo wamenifichia mtego.
Пролию пред Ним моление мое, печаль мою пред ним возвещу.
4 Natazama kulia kwangu na sioni yeyote anayenijali. Sina pa kukimbilia; hakuna anayejali kuhusu uhai wangu.
Внегда изчезати от мене духу моему, и ты познал еси стези моя: на пути сем, по немуже хождах, скрыша сеть мне.
5 Nilikuita wewe, Yahwe; nikasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.
Сматрях одесную и возглядах, и не бе знаяй мене: погибе бегство от мене, и несть взыскаяй душу мою.
6 Sikia kuita kwangu, maana nimeshushwa chini sana; uniokoe dhidi ya watesi wangu, maana wana nguvu kuliko mimi.
Воззвах к Тебе, Господи, рех: Ты еси упование мое, часть моя еси на земли живых.
7 Uitoe nafsi yangu kifungoni ili niweze kulishukuru jina lako. Wenye haki watakusanyika karibu nami kwa sababu umekuwa mwema kwangu.”
Вонми молению моему, яко смирихся зело: избави мя от гонящих мя, яко укрепишася паче мене. Изведи из темницы душу мою, исповедатися имени Твоему: мене ждут праведницы, дондеже воздаси мне.

< Zaburi 142 >