< Zaburi 142 >

1 Kwa sauti yangu namlilia Yahwe anisaidie; kwa sauti yangu naomba kwa ajili ya neema ya Yahwe.
Psaume de méditation de David lorsqu'il était dans la caverne en prière. J'ai crié de ma voix au Seigneur; j'ai conjuré de ma voix le Seigneur.
2 Namwaga malalamiko yangu mbele zake; ninamwambia shida zangu.
J'épancherai devant lui ma prière; je lui ferai entendre, en sa présence, mon affliction.
3 Roho yangu inapokuwa dhaifu ndani yangu, wewe unajua mapito yangu. Kwenye njia niipitayo wamenifichia mtego.
Pendant que mon esprit était en défaillance, toi aussi tu connaissais mes sentiers; dans la voie où j'étais cheminant, ils avaient caché pour moi des filets.
4 Natazama kulia kwangu na sioni yeyote anayenijali. Sina pa kukimbilia; hakuna anayejali kuhusu uhai wangu.
Je regardais à ma droite, je voyais, et il n'était personne qui me connût; tout refuge m'était ôté, et nul n'était là pour me sauver la vie.
5 Nilikuita wewe, Yahwe; nikasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.
J'ai crié vers toi, Seigneur, et j'ai dit: tu es mon espérance et mon partage en la terre des vivants.
6 Sikia kuita kwangu, maana nimeshushwa chini sana; uniokoe dhidi ya watesi wangu, maana wana nguvu kuliko mimi.
Sois attentif à ma supplication, car je suis humilié à l'excès; délivre- moi de ceux qui me poursuivent, car ils sont plus forts que moi.
7 Uitoe nafsi yangu kifungoni ili niweze kulishukuru jina lako. Wenye haki watakusanyika karibu nami kwa sababu umekuwa mwema kwangu.”
Tire mon âme de sa prison pour qu'elle rende grâces à ton nom, Seigneur; et les justes m'attendront jusqu'à ce que tu m'aies récompensé.

< Zaburi 142 >