< Zaburi 142 >
1 Kwa sauti yangu namlilia Yahwe anisaidie; kwa sauti yangu naomba kwa ajili ya neema ya Yahwe.
Cantique de David. Lorsqu’il était dans la caverne. Prière. De ma voix je crie à Yahweh, de ma voix j’implore Yahweh;
2 Namwaga malalamiko yangu mbele zake; ninamwambia shida zangu.
Je répands ma plainte en sa présence, devant lui j’expose ma détresse.
3 Roho yangu inapokuwa dhaifu ndani yangu, wewe unajua mapito yangu. Kwenye njia niipitayo wamenifichia mtego.
Lorsqu’en moi mon esprit défaille, toi tu connais mon sentier; tu sais que, dans la route où je marche, ils me tendent des pièges.
4 Natazama kulia kwangu na sioni yeyote anayenijali. Sina pa kukimbilia; hakuna anayejali kuhusu uhai wangu.
Jette les yeux à ma droite et vois: personne ne me reconnaît; tout refuge me fait défaut, nul n’a souci de mon âme.
5 Nilikuita wewe, Yahwe; nikasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.
Je crie vers toi, Yahweh, je dis: Tu es mon refuge, mon partage sur la terre des vivants!
6 Sikia kuita kwangu, maana nimeshushwa chini sana; uniokoe dhidi ya watesi wangu, maana wana nguvu kuliko mimi.
Prête l’oreille à ma plainte, car je suis malheureux à l’excès; délivre-moi de ceux qui me poursuivent, car ils sont plus forts que moi.
7 Uitoe nafsi yangu kifungoni ili niweze kulishukuru jina lako. Wenye haki watakusanyika karibu nami kwa sababu umekuwa mwema kwangu.”
Tire mon âme de cette prison, afin que je célèbre ton nom; les justes triompheront avec moi de ce que tu m’auras fait du bien.