< Zaburi 142 >
1 Kwa sauti yangu namlilia Yahwe anisaidie; kwa sauti yangu naomba kwa ajili ya neema ya Yahwe.
Cantan David anae Gagaegue gue gui Liyang; un Tinayuyut. JUAGANG si Jeova gui inagangjo; gui inagangjo si Jeova nae jutayuyut.
2 Namwaga malalamiko yangu mbele zake; ninamwambia shida zangu.
Jubasia y quejaco gui menaña, jufanue gui menaña ni y chinatsagaco.
3 Roho yangu inapokuwa dhaifu ndani yangu, wewe unajua mapito yangu. Kwenye njia niipitayo wamenifichia mtego.
Yanguin y espiritujo lalango gui sumanjalomjo, untungoja y finaposso. Y chalan gui anae mamocatyo, manaatog y laso para guajo.
4 Natazama kulia kwangu na sioni yeyote anayenijali. Sina pa kukimbilia; hakuna anayejali kuhusu uhai wangu.
Atan y agapa na canaejo ya lie; lao taya ni un taotao tumungoyo: y guine güeco esta malingo; taya ni un taotao umadaje y antijo.
5 Nilikuita wewe, Yahwe; nikasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.
Juagang jao O Jeova; ilegco: Jago guinegüeco yan y patteco gui tano y manlalâlâ.
6 Sikia kuita kwangu, maana nimeshushwa chini sana; uniokoe dhidi ya watesi wangu, maana wana nguvu kuliko mimi.
Atituye y inagangjo; sa sen lumalagpapayo; nalibreyo gui pumetsisigueyo, sa manmetgotña qui guajo.
7 Uitoe nafsi yangu kifungoni ili niweze kulishukuru jina lako. Wenye haki watakusanyika karibu nami kwa sababu umekuwa mwema kwangu.”
Najuyong y antijo gui calaboso, ya junae grasias y naanmo: ujaoriyayeyo y manunas; sa unfatinas pot guajo gosmegae.