< Zaburi 142 >
1 Kwa sauti yangu namlilia Yahwe anisaidie; kwa sauti yangu naomba kwa ajili ya neema ya Yahwe.
Na da Hina Godema fidima: ne wele sia: sa. Na Ema edegesa.
2 Namwaga malalamiko yangu mbele zake; ninamwambia shida zangu.
Na da: i dione Ema egane iaha. Na se nabasu huluane Ema olelesa.
3 Roho yangu inapokuwa dhaifu ndani yangu, wewe unajua mapito yangu. Kwenye njia niipitayo wamenifichia mtego.
Na da hamomu hamedei galea, yolesimusa: dawa: sea, E da na hamoma: ne dawa: olelesa. Logo na ahoabega, amogai wadela: i hamosu dunu ilia da na sa: ima: ne, wamo sanisisa.
4 Natazama kulia kwangu na sioni yeyote anayenijali. Sina pa kukimbilia; hakuna anayejali kuhusu uhai wangu.
Na ba: le gasea, na fidisu amola gaga: su eno hame ba: sa. Dunu eno da na hame gagagulasa.
5 Nilikuita wewe, Yahwe; nikasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.
Hina Gode! Na da Dia fidima: ne digini wele sia: sa. Hina Gode, Di da na Gaga: su Gode. Na fifi ahoanebe amo ganodini, na da Di fawane hanai gala.
6 Sikia kuita kwangu, maana nimeshushwa chini sana; uniokoe dhidi ya watesi wangu, maana wana nguvu kuliko mimi.
Na digini wele sia: be nabima! Bai na da baligili da: i dione heawini gala. Na ha lai dunu da na hasalasa: besa: le, Dia na gaga: ma. Ilia gasa da na gasa baligi dagoi.
7 Uitoe nafsi yangu kifungoni ili niweze kulishukuru jina lako. Wenye haki watakusanyika karibu nami kwa sababu umekuwa mwema kwangu.”
Na se nababeba: le, Dia na hohogilisima! Amasea, na da dunu ilia gilisisu ganodini, Dima nodomu. Bai Di da nama noga: idafa hou hamonana.