< Zaburi 141 >

1 Ee Yahwe, ninakulilia wewe; uje upesi kwangu. Unisikilize nikuitapo.
`The salm `of Dauith. Lord, Y criede to thee, here thou me; yyue thou tent to my vois, whanne Y schal crye to thee.
2 Maombi yangu na yawe kama uvumba mbele zako; mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama dhabihu ya jioni.
Mi preier be dressid as encense in thi siyt; the reisyng of myn hondis be as the euentid sacrifice.
3 Ee Yahwe, uweke mlinzi kinywani mwangu; mngojezi malangoni pa midomo yangu.
Lord, sette thou a keping to my mouth; and a dore of stonding aboute to my lippis.
4 Usiruhusu tamaa ya moyo wangu kutamani uovu wowote wala kushiriki katika matendo ya dhambi na watu waishio maovuni. Nisile vyakula vyao vya anasa.
Bowe thou not myn herte in to wordis of malice; to excuse excusingis in synne. With men worchinge wickidnesse; and Y schal not comyne with the chosun men of hem.
5 Mwenye haki na anipige; nao utakuwa ni wema kwangu. Anirudi; itakuwa kama mafuta kichwani pangu; kichwa changu na kisikatae kupokea. Lakini maombi yangu siku zote yatakuwa dhidi ya matendo yao mauvu.
A iust man schal repreue me in mersi, and schal blame me; but the oile of a synner make not fat myn heed. For whi and yit my preier is in the wel plesaunt thingis of hem;
6 Viongozi wao watatupwa chini toka juu mlimani; watayasikia maneno yangu kuwa ni matamu.
for the domesmen of hem ioyned to the stoon weren sopun vp. Here thei my wordis,
7 Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol h7585)
for tho weren myyti. As fatnesse is brokun out on the erthe; oure bonys ben scatered niy helle. Lord, Lord, (Sheol h7585)
8 Hakika macho yangu yanakutazama wewe, Yahwe, Bwana; katika wewe napata kimbilio; usiiache nafsi yangu.
for myn iyen ben to thee, Y hopide in thee; take thou not awei my soule.
9 Unilinde dhidi ya mitego waliyoiweka kwa ajili yangu, na matanzi yao watendao maovu.
Kepe thou me fro the snare which thei ordeyneden to me; and fro the sclaundris of hem that worchen wickidnesse. Synneris schulen falle in the nett therof;
10 Waovu na waangukie kwenye nyavu zao wenywe pindi mimi nitorokapo.
Y am aloone til Y passe.

< Zaburi 141 >