< Zaburi 140 >

1 Yahwe, uniokoe dhidi ya waovu; unikinge dhidi ya watu wenye vurugu.
大衛的詩,交與伶長。 耶和華啊,求你拯救我脫離凶惡的人, 保護我脫離強暴的人!
2 Wao wanapanga uovu mioyoni mwao; wanasababisha mapigano kila siku.
他們心中圖謀奸惡, 常常聚集要爭戰。
3 Ndimi zao zinajeruhi kama nyoka; sumu ya fira imo midomoni mwao. (Selah)
他們使舌頭尖利如蛇, 嘴裏有虺蛇的毒氣。 (細拉)
4 Ee Yahwe, unilinde dhidi ya mikono ya waovu; unikinge na vurugu za watu wanaopanga kuniangusha.
耶和華啊,求你拯救我脫離惡人的手, 保護我脫離強暴的人! 他們圖謀推我跌倒。
5 Wenye majivuno wameweka mtego kwa ajili yangu; wameeneza nyavu; wameweka kitanzi kwa ajili yangu. (Selah)
驕傲人為我暗設網羅和繩索; 他們在路旁鋪下網,設下圈套。 (細拉)
6 Nilimwambia Yahwe, “Wewe ni Mungu wangu; usikie kilio changu unihurumie.”
我曾對耶和華說:你是我的上帝。 耶和華啊,求你留心聽我懇求的聲音!
7 Ee Yahwe, Bwana wangu, wewe ni mwenye nguvu uwezaye kuniokoa; hunifunika ngao kichwa changu siku ya vita.
主-耶和華、我救恩的力量啊, 在爭戰的日子,你遮蔽了我的頭。
8 Ee Yahwe, usiyatimize matakwa ya waovu; usiruhusu njama zao kufanikiwa. (Selah)
耶和華啊,求你不要遂惡人的心願; 不要成就他們的計謀,恐怕他們自高。 (細拉)
9 Wale wanao nizunguka huinua vichwa vyao; madhara ya midomo yao wenyewe na yawafunike.
至於那些昂首圍困我的人, 願他們嘴唇的奸惡陷害自己!
10 Makaa ya moto na yawaangukie; uwatupe motoni, kwenye shimo refu, wasiweze kuinuka tena.
願火炭落在他們身上! 願他們被丟在火中, 拋在深坑裏,不能再起來。
11 Watu wenye ndimi na wasifanywe salama juu ya nchi; na uovu umuwinde kumpiga mtu mwenye vurugu mpaka afe.
說惡言的人在地上必堅立不住; 禍患必獵取強暴的人,將他打倒。
12 Ninajua kuwa Yahwe atahukumu kwa haki walioteswa, na kuwa atawapa haki wahitaji.
我知道耶和華必為困苦人伸冤, 必為窮乏人辨屈。
13 Hakika watu wenye haki watalishukuru jina lako; watu wanyoofu wataishi uweponi mwako.
義人必要稱讚你的名; 正直人必住在你面前。

< Zaburi 140 >