< Zaburi 140 >

1 Yahwe, uniokoe dhidi ya waovu; unikinge dhidi ya watu wenye vurugu.
Hina Gode! Wadela: i hamosu dunu amola nimi bagade gegesu dunu da nama hasalasisa: besa: le, Dia na gaga: ma.
2 Wao wanapanga uovu mioyoni mwao; wanasababisha mapigano kila siku.
Ilia da eso huluane wadela: le hamomusa: ilegelala. Ilia da eso huluane sia: ga gegesa amola sia: waisa.
3 Ndimi zao zinajeruhi kama nyoka; sumu ya fira imo midomoni mwao. (Selah)
Ilia gona: su da medosu sania defele gala. Ilia sia: da saya: be ea medosu defo hano defele gala.
4 Ee Yahwe, unilinde dhidi ya mikono ya waovu; unikinge na vurugu za watu wanaopanga kuniangusha.
Hina Gode! Wadela: i hamosu dunu ilia gasaga na banenesisa: besa: le, na gaga: ma. Nimi gegesu dunu da na dafama: ne ilegesa. Dia na gaga: ma!
5 Wenye majivuno wameweka mtego kwa ajili yangu; wameeneza nyavu; wameweka kitanzi kwa ajili yangu. (Selah)
Hidale gasa fibi dunu da na sa: ima: ne sanenesisi. Ilia da na gagulaligima: ne, logoba: le sanenesisu.
6 Nilimwambia Yahwe, “Wewe ni Mungu wangu; usikie kilio changu unihurumie.”
Na da Hina Godema amane sia: sa, “Di da na Gode! Hina Gode! Na fidima: ne digini wele sia: be nabima!
7 Ee Yahwe, Bwana wangu, wewe ni mwenye nguvu uwezaye kuniokoa; hunifunika ngao kichwa changu siku ya vita.
Na ouligisudafa Hina Gode! Na gasa bagade Gaga: su Dunu! Dia da gegesu ganodini na gaga: i.
8 Ee Yahwe, usiyatimize matakwa ya waovu; usiruhusu njama zao kufanikiwa. (Selah)
Hina Gode! Wadela: i hamosu dunu ilia hanai liligi ilima mae ima. Ilia wadela: i hamoma: ne ilegesu amo hedofama.
9 Wale wanao nizunguka huinua vichwa vyao; madhara ya midomo yao wenyewe na yawafunike.
Na ha lai dunu da na hasalasisa: besa: le, ilia logo hedofama. Ilia nama se ima: ne sia: su da sinidigili, ilima se ima: ne, Dia hamoma.
10 Makaa ya moto na yawaangukie; uwatupe motoni, kwenye shimo refu, wasiweze kuinuka tena.
Gia: i bagade lalu oso da ili da: iya sa: imu da defea. Ilia da uli dogoi ganodini dafane, bu hame heda: mu da defea.
11 Watu wenye ndimi na wasifanywe salama juu ya nchi; na uovu umuwinde kumpiga mtu mwenye vurugu mpaka afe.
Dunu amo da eno dunuma ogogole diwaneya udidisia, ilia hamobe da didili hame hamomu da defea. Dodona: gi gegesu dunu da wadela: su liligi amoga gugunufinisi dagoi ba: mu da defea.
12 Ninajua kuwa Yahwe atahukumu kwa haki walioteswa, na kuwa atawapa haki wahitaji.
Hina Gode! Na dawa: , Di da hame gagui dunu amola hahanibi dunu ilia hou gaga: sa.
13 Hakika watu wenye haki watalishukuru jina lako; watu wanyoofu wataishi uweponi mwako.
Moloidafa dunu ilia da Dima nodone sia: ne, Dia midadi esalumu.

< Zaburi 140 >