< Zaburi 14 >
1 Mpumbavu husema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wamepotoka nakufanya uovu haramu; hakuna hata mmoja atendaye dhambi.
Для дириґента хору. Давидів.
2 Yahwe anatazama chini kwa wanadamu kutoka mbinguni aone kama kuna yeyote anayeelewa, amtafutaye Mungu.
Господь дивиться з неба на лю́дських синів, щоб побачити, чи є там розумний, що Бога шукає.
3 Wote wamegeukia njia nyingine. Kwa pamoja wamepotoka. Hakuna yeyote atendaye mema, hakuna, hata mmoja.
Усе повідступа́ло, разом стали бридки́ми вони, нема доброчинця, нема ні одно́го!
4 Je, hawajui lolote, wale wafanyao uovu, wale wanao kula watu wangu kama vile wanakula mkate, lakini hao hawamuiti Yahwe?
Чи ж не розуміють всі ті, хто чинить безпра́в'я, хто мій люд поїдає? Вони хліб Господній їдять, та не кличуть Його,
5 Wao wana tetemeka kwa hofu. Kwa kuwa Mungu yuko pamoja na kusanyiko la wenye haki!
Тоді настраши́лися стра́хом вони, бо Бог в праведнім роді.
6 Ninyi mnataka kumfedhehesha mtu maskini japo kuwa Yahwe ni kimbilio lake.
Раду вбогого га́ньбите ви, та Госпо́дь охорона йому.
7 Oh, kwamba wokovu wa Israeli ungetokea Sayuni! Wakati Yahwe akiwarudisha watu wake kutoka utumwani, ndipo Yakobo atashangilia na Israeli itakuwa na furaha!
Аби то Він дав із Сіону спасі́ння Ізраїлеві! Як долю Своєму наро́ду пове́рне Господь, то радітиме Яків, втіша́тися буде Ізра́їль!